Haki na jukumu la mkopaji kisheria
Imekuwa ni kawaida sana kwa watu wengi kujikuta wameingia kwenye mkopo bila kujua majukumu au haki zao kama wakopaji na matokeo yake wanafilisiwa au wanashindwa kabisa kurudisha mkopo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Je, mkopaji ana haki zipi hasa kisheria?
Haki ni stahiki za kisheria ambazo mtu anapaswa azipate au apewe. Wajibu ni majukumu ambayo mtu anapaswa kuyatimiza katika kufanikisha au kukamilisha jambo fulani.
10 years ago
Michuzi10 Aug
MAKOSA YA KISHERIA KATIKA KUNADISHA NYUMBA YA MKOPAJI.
Na Bashir YakubSheria ya ardhi Sura ya 113 imetoa maelezo kwa upana kuhusu miamala kati ya mtoa mkopo , mkopaji na dhamana inayohusika katika mkopo huo. Mara kadhaa watu binafsi, taasisi za haki za binadamu, asasi za kiraia, na makundi mengine wamekuwa wakitoa maelezo mbalimbali yanayotokana na sheria hii hasa wakilenga kupunguza vitendo vya ukiukaji wa taratibu ambao hufanywa na baadhi yua taasisi za mikopo ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VY2tNXw2AwI/XtfulTanrsI/AAAAAAALsjE/Y0mxdMOGILInkFT2_NTXM7f-HoVGQYVjACLcBGAsYHQ/s72-c/4-3.jpg)
“Tume ya Haki za Binadamu Ina Jukumu Kubwa la Kulinda Haki za Wanawake na Watotoâ€-BALOZI SEIF
![](https://1.bp.blogspot.com/-VY2tNXw2AwI/XtfulTanrsI/AAAAAAALsjE/Y0mxdMOGILInkFT2_NTXM7f-HoVGQYVjACLcBGAsYHQ/s640/4-3.jpg)
kinachohusu masuala ya haki za binadamu na utawala bora kutoka kwa Mwenyekiti na
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu Mathew Mhina,
Walipomtembelea Ofisini kwake leo Juni 3, 2020 Vuga Mjini Zanzibar.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6-2.jpg)
Mwenyekiti na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu
Mathew Mhina, akiteta jambo na Makamu Mwenyekiti, wa Tume ya Haki za Biadamu
na Utawala Bora, Mohamedi Khamis Hamadi, wakati wa ziara yake...
9 years ago
Mwananchi27 Sep
Lubuva: Uchaguzi huru na haki si jukumu la NEC pekee
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema uchaguzi kuwa huru na haki, siyo jukumu la NEC pekee, bali wadau mbalimbali.
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Haki za mmiliki wa ardhi kisheria
Watu wengi humiliki ardhi kwa njia zozote zinazotambulika kisheria kama kukaa muda mrefu, kwa kurithi au kupewa.
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Haki za mmiliki wa ardhi kisheria-2
Uwanja wa Kambole ni ukurasa unaokuletea uchambuzi wa sheria za aina mbalimbali. Tulianza na sheria za ajira, sasa tupo kwenye sheria za ardhi lengo ni kukupa ufahamu kiasi na uelewa wa sheria mbalimbali.
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Fahamu haki, wajibu wa mwanahisa kisheria
Haki na wajibu ni sawa na pande mbili za sarafu moja. Ili iwepo haki lazima wajibu uwepo. Kwa hiyo ni muhimu sana mwanahisa ukafahamu wajibu wako ili upate uhalali na nguvu za kutosha za kudai na kuzisimamia haki zako.
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Fahamu haki na wajibu wa mfanyakazi kisheria
Huwezi kudai kitu ambacho hufahamu kuwa kipo na hata kama unajua kipo hujui kinapatikanaje na hata kama unajua kinavyopatikana hujui nani anawajibika kukupatia.
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Mwanamke ana haki ya kumiliki mali kisheria
Ukimuelimisha mwanamke umeielimisha jamii. Ni wakati wa kuondokana na mfumo dume. Mwanamke akiwezeshwa anaweza. Mwanamke ndiye mlezi wa familia.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania