MAKOSA YA KISHERIA KATIKA KUNADISHA NYUMBA YA MKOPAJI.
Na Bashir YakubSheria ya ardhi Sura ya 113 imetoa maelezo kwa upana kuhusu miamala kati ya mtoa mkopo , mkopaji na dhamana inayohusika katika mkopo huo. Mara kadhaa watu binafsi, taasisi za haki za binadamu, asasi za kiraia, na makundi mengine wamekuwa wakitoa maelezo mbalimbali yanayotokana na sheria hii hasa wakilenga kupunguza vitendo vya ukiukaji wa taratibu ambao hufanywa na baadhi yua taasisi za mikopo ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MAKALA YA SHERIA: NI MAKOSA KISHERIA TAASISI YA FEDHA KUUZA NYUMBA YA DHAMANA KWA BEI YA KUTUPA

Ni kawaida kukuta nyumba ya...
10 years ago
Mwananchi19 Mar
Haki na jukumu la mkopaji kisheria
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Je, mkopaji ana haki zipi hasa kisheria?
10 years ago
Michuzi
MAKALA YA SHERIA: NINI UFANYE KISHERIA UNAPOHISI MWENZAKO KATIKA NDOA ANATAKA KUUZA NYUMBA/KIWANJA BILA RIDHAA YAKO

Upo wakati kwenye ndoa ambapo mmoja wanandoa anaweza akawa anataka kuuza au kubadili jina la nyumba/kiwanja bila ridhaa ya mwenzake ilihali nyumba hiyo ni ya familia. Lakini pia nje ya hilo kuna mazingira ambayo mtu anaweza kuwa si mwanandoa lakini ana maslahi katika nyumba au kiwanja cha mtu fulani na anataka kuzuia nyumba/ kiwanja hicho kisibadilishwe jina au kisiuzwe. Kisheria jambo hilo linaruhusiwa na huitwa zuio( Caveat).
Hili sio zuio la...
10 years ago
Michuzi
MAKALA YA SHERIA: SHERIA INAMRUHUSU MKOPAJI KUJIUZIA MWENYEWE KIWANJA/NYUMBA YA DHAMANA.

Na Bashir YakubWiki kadhaa zilizopita nilipigiwa simu na mama mmoja akitaka nimpe ushauri wa sheria kuhusu jambo fulani. Nilifanya miadi naye na tukafanya mazungumzo. Kubwa kuhusu shida yake ilikuwa ni tatizo la mkopo ambapo benki moja imeuza nyumba yake maeneo ya Kinondoni Dar es saaam. Wasiwasi wake ulikuwa ukiukwaji wa taratibu za mauzo ya nyumba yake na hivyo akitaka kujua afanye nini. Maswali yake yalikuwa mengi na ...
10 years ago
Michuzi
JITAMBUE KISHERIA UNAPOFUKUZWA KAZI KWA MAKOSA YA KINIDHAMU.

10 years ago
Mwananchi20 Nov
Haki za mpangaji na majukumu ya mwenye nyumba kisheria
10 years ago
Michuzi30 Sep
UPENDELEO WA KISHERIA KWA NYUMBA YA MAKAZI KABLA YA KUNADISHWA.
Nyumba ya makazi ni ipi. Nyumba ya makazi ni ile nyumba ambayo inatumiwa na binadamu ...
10 years ago
Michuzi05 Jan
MAKALA YA SHERIA: UNATAKA NYUMBA/KIWANJA, HAKIKISHA HAYA KISHERIA USITAPELIWE
Kwa muda mrefu sasa kumekuwepo na migogoro ya mashamba, viwanja na nyumba hasa maeneo ya mijini. Kwa utafiti wa kawaida utagundua kwa haraka baadhi ya sababu ambazo husababisha hali hii.Uaminifu, tamaa, kutelekeza maeneo kwa muda mrefu, utendaji mbovu wa baadhi ya watumishi katika mamlaka za ardhi, uzembe na kutojali ni baadhi ya sababu ambazo huchangia kuwapo na kukua kwa tatizo hili.
Baada ya kuwapo tatizo hili wajibu mkubwa umebaki kwa watu wenyewe kuwa makini na...