MAKALA YA SHERIA: NI MAKOSA KISHERIA TAASISI YA FEDHA KUUZA NYUMBA YA DHAMANA KWA BEI YA KUTUPA
![](http://4.bp.blogspot.com/-mFwqQPz0y_M/VTQY7UfB14I/AAAAAAAHSCY/6dpjpCWy-pE/s72-c/1.1774256.jpg)
Na Bashir Yakub.Kumekuwa na tabia ya taasisi za fedha kuuza nyumba au viwanja vya watu walivyoweka rehani na kushindwa kulipa mkopo kwa bei ya kutupa. Kwakuwa taasisi za fedha huamini kwamba wana deni na mtu na ameshindwa kulipa hela zao na pengine kwakuwa tayari wamekamilisha taratibu zote za kisheria za kuuza basi huamua kuuza mali ya mtu kwa bei ambayo ni ndogo kiasi cha kustaajabisha.
Ni kawaida kukuta nyumba ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Pchumt86h14/VPVrlkaXVQI/AAAAAAAHHSg/9vJINZeSMfE/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: USIFANYE MAKOSA, HUU NDIO UTARATIBU WA KUNUNUA NYUMBA ILIYOWEKWA REHANI/DHAMANA BENKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Pchumt86h14/VPVrlkaXVQI/AAAAAAAHHSg/9vJINZeSMfE/s1600/law_5.jpg)
Nimewahi kuandika mara kwa mara kuhusu utaratibu mzuri wa kumwezesha mtu kununua nyumba huku akiwa ameepuka mgogoro. Nilitahadharisha sana kuhusu migogoro ya ardhi ambayo sasa imekuwa janga la kitaifa hapa kwetu. Nakumbuka moja kati ya mambo niliyoeleza ni kuwa utaratibu wa manunuzi ya nyumba/viwanja unatofautiana.Nikasema kwamba tofauti zake zinatokana na ukweli kuwa kila nyumba ina mazingira yake. Hata hivyo sikusema...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-p01x6L89i7k/VNx2DS9fmCI/AAAAAAAHDR8/WP4zQul50Gs/s72-c/images.jpeg)
MAKALA YA SHERIA: NINI UFANYE KISHERIA UNAPOHISI MWENZAKO KATIKA NDOA ANATAKA KUUZA NYUMBA/KIWANJA BILA RIDHAA YAKO
![](http://1.bp.blogspot.com/-p01x6L89i7k/VNx2DS9fmCI/AAAAAAAHDR8/WP4zQul50Gs/s1600/images.jpeg)
Upo wakati kwenye ndoa ambapo mmoja wanandoa anaweza akawa anataka kuuza au kubadili jina la nyumba/kiwanja bila ridhaa ya mwenzake ilihali nyumba hiyo ni ya familia. Lakini pia nje ya hilo kuna mazingira ambayo mtu anaweza kuwa si mwanandoa lakini ana maslahi katika nyumba au kiwanja cha mtu fulani na anataka kuzuia nyumba/ kiwanja hicho kisibadilishwe jina au kisiuzwe. Kisheria jambo hilo linaruhusiwa na huitwa zuio( Caveat).
Hili sio zuio la...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CguWNueyCEo/VZBhrJP7FBI/AAAAAAAHlUE/uwic7DUJaAk/s72-c/download.jpg)
MAKALA YA SHERIA: SHERIA INAMRUHUSU MKOPAJI KUJIUZIA MWENYEWE KIWANJA/NYUMBA YA DHAMANA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-CguWNueyCEo/VZBhrJP7FBI/AAAAAAAHlUE/uwic7DUJaAk/s640/download.jpg)
Na Bashir YakubWiki kadhaa zilizopita nilipigiwa simu na mama mmoja akitaka nimpe ushauri wa sheria kuhusu jambo fulani. Nilifanya miadi naye na tukafanya mazungumzo. Kubwa kuhusu shida yake ilikuwa ni tatizo la mkopo ambapo benki moja imeuza nyumba yake maeneo ya Kinondoni Dar es saaam. Wasiwasi wake ulikuwa ukiukwaji wa taratibu za mauzo ya nyumba yake na hivyo akitaka kujua afanye nini. Maswali yake yalikuwa mengi na ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Gg2Oajm5Dy0/VSYEmpt_NLI/AAAAAAAHPo4/D5kuWupbBvo/s72-c/images.jpeg)
MAKALA YA SHERIA: BENKI HAIWEZI KUUZA NYUMBA KWA MKOPO AMBAO MMOJA WA WANANDOA HAKUSHIRIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Gg2Oajm5Dy0/VSYEmpt_NLI/AAAAAAAHPo4/D5kuWupbBvo/s1600/images.jpeg)
Ukisoma kichwa cha habari utaona nimeongelea nyumba lakini kimsingi mchakato huu unahusisha mali zote za wanandoa vikiwemo viwanja, magari, na kila kitu ambacho ni mali ya wanandoa. Kichwa kinajieleza kuwa ni makosa benki au taasisi yoyote ya fedha kuuza nyumba au mali yoyote ya wanandoa ikiwa wakati wa kuchukua mkopo mwanandoa mmojawapo hakushirikishwa katika mchakato wa mkopo huo.
1. MAANA YA MALI YA...
10 years ago
Michuzi05 Jan
MAKALA YA SHERIA: UNATAKA NYUMBA/KIWANJA, HAKIKISHA HAYA KISHERIA USITAPELIWE
Kwa muda mrefu sasa kumekuwepo na migogoro ya mashamba, viwanja na nyumba hasa maeneo ya mijini. Kwa utafiti wa kawaida utagundua kwa haraka baadhi ya sababu ambazo husababisha hali hii.Uaminifu, tamaa, kutelekeza maeneo kwa muda mrefu, utendaji mbovu wa baadhi ya watumishi katika mamlaka za ardhi, uzembe na kutojali ni baadhi ya sababu ambazo huchangia kuwapo na kukua kwa tatizo hili.
Baada ya kuwapo tatizo hili wajibu mkubwa umebaki kwa watu wenyewe kuwa makini na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j0RDaybMzfI/VLw55EC4jxI/AAAAAAAG-Og/GasBT-RQtrU/s72-c/images.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MNUNUZI WA NYUMBA/KIWANJA JIHADHARI SERIKALI ZA MITAA HAWARUHUSIWI KUSIMAMIA MIKATABA KISHERIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-j0RDaybMzfI/VLw55EC4jxI/AAAAAAAG-Og/GasBT-RQtrU/s1600/images.jpg)
Na Bashir YakubWiki iliyopita niliandika kuhusu Asilimia kumi ambayo serikali za mitaa huwa wanaidai hasa maeneo ya mijini baada ya wahusika kuwa wameuziana nyumba au kiwanja. Nikasema wazi kabisa bila kungata meno kuwa hiyo pesa iitwayo asilimia kumi au pesa nyingine yoyote mtu atakayolipa serikali za mitaa eti kwakuwa amenunua au ameuza eneo lake ni rushwa. Na leo nakumbusha na kusisitiza tena kuwa Watanzana wajue ukitoa pesa ile umetoa ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QSqIoANJeUA/VLdGIXxlBuI/AAAAAAAG9ao/XOSLTWUbtPM/s72-c/realestate.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MNUNUZI WA NYUMBA/KIWANJA USILAZIMISHWE KULIPA ASILIMIA KUMI SERIKALI ZA MITAA MAANA HAIPO KISHERIA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-QSqIoANJeUA/VLdGIXxlBuI/AAAAAAAG9ao/XOSLTWUbtPM/s1600/realestate.jpg)
Na Bashir YakubMara nyingi nimekuwa nikiandika kuhusu masuala muhimu kuhusu ardhi hasa namna ya kuandika mikataba mtu anapokuwa ananunua nyumba/kiwanja , hadhi ya mikataba hiyo kisheria, na ubora wake. Pia nimeandika mambo mbalmbali kuhusu namna ya kununua nyumba au kiwanja kwa usalama ili watu wasitapeliwe. Nikasema suala si tu kununua kile unachokipenda na kuondoka isipokuwa ni kununua na kuwa salama na ulichonunua bila hatari ya kukumbana na mgogoro mbeleni. Lengo la haya yote ni...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8tRtbUJ3HO4/VN0QOK6LUmI/AAAAAAAHDYM/pbg04cUgsOM/s72-c/download.jpeg)
MAKALA YA SHERIA: KISHERIA, MAHUSIANO KATI YA MME NA MKE KWA MIAKA MIWILI NI NDOA
![](http://1.bp.blogspot.com/-8tRtbUJ3HO4/VN0QOK6LUmI/AAAAAAAHDYM/pbg04cUgsOM/s1600/download.jpeg)
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania, zipo aina nyingi za ndoa. Pamoja na kuwa na aina nyingi za ndoa, ndoa hizi tunaweza kuzigawa katika makundi makuu mawili. Kwanza, ndoa za serikali(civil marriage) na Pili ni ndoa za kimila(customary marriage).
Ndoa za serikali ni zile ndoa zinazofungwa kwa mkuu wa Wilaya, Msajili wa ndoa pamoja na katika Ofisi nyingine za serikali kama Ubalozini n.k.
Ndoa za kimila ni zile ndoa zinazofungwa kulingana na taratibu za kabila la wahusika; kwa mfano...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6JoCghYlMR0/VTnwm0MNFvI/AAAAAAAHS1M/gZudUDChCxM/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KISHERIA MATUNZO KWA MWANAMKE HUENDELEA KUTOLEWA HATA BAADA YA KUTENGANA NAYE
![](http://3.bp.blogspot.com/-6JoCghYlMR0/VTnwm0MNFvI/AAAAAAAHS1M/gZudUDChCxM/s1600/1.1774256.jpg)