Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MPANGAJI ANAYELIPA KODI YA ZUIO ANAPASWA KUREJESHEWA NA MWENYE NYUMBA

Na. Peter Haule na Josephine Majura, WFM, Dodoma

Serikali imesema kuwa Sheria ya Kodi ya Mapato inaruhusu mpangaji wa nyumba ya biashara kusajiliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania na kuwa Wakala wa ukusanyaji wa Kodi ya Zuio (Withholding Tax) hivyo kuwa sehemu ya mlipaji wa kodi ya pango.

Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Pauline Gekul, aliyetaka kujua lini Serikali itabadili...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Haki za mpangaji na majukumu ya mwenye nyumba kisheria

Ardhi ni kitu muhimu sana katika maisha ya kila siku ya binadamu. Hata hivyo, ukweli ni kwamba siyo kila Mtanzania anamiliki ardhi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajibu wa mpangishaji, mpangaji nyumba — 2

KATIKA makala iliyopita nilisema kwamba uhusiano wa mpangaji na mpangishaji nyumba au ardhi ni wa kisheria zaidi kwani unaratibiwa na sheria mbalimbali, mathalani kwa hapa Tanzania moja wapo ya sheria...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima waondolewa kodi ya zuio

SERIKALI kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeondoa kodi ya zuio kwa wakulima ambao hawana  namba la mlipakodi wakati wa kuuza mazao yao. Kauli hiyo imetokana na serikali kutambua kuwa...

 

5 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA DAR WAELIMISHWA KUHUSU KODI YA ZUIO


Afisa Msimamizi wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Isihaka Shariff akimuelimisha Mfanyabiashara wa maduka ya Ikupa Market katika eneo la Tabata Kinyerezi jijini Dar es Salaam kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu kodi wakati wa Kampeni endelevu ya Elimu kwa Mlipakodi iliyoanza tangu tarehe 8 Juni, 2020.
Afisa Msimamizi wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bi. Catherine Mwakilagala akimuelimisha Mfanyabiashara wa eneo la Tabata Segerea jijini Dar es Salaam kuhusu masuala...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: India imeweka zuio la watu kutotoka katika nyumba zao kabisa

Hofu kubwa yatanda baada ya taifa la India kutangaza nchi kufungwa kutokana na janga la maambukizi ya virusi vya corona.

 

10 years ago

GPL

10 years ago

GPL

10 years ago

Vijimambo

MH. NYALANDU AKIWA NA MAMA MWENYE NYUMBA WAKE



Mh. Nyalandu akiwa na mke wake ni mambo ya Valentine's Day hayo Vijimambo inakupongeza Mh. Kwa Upendo wako kwa familia yako.

 

10 years ago

GPL

RAY C, BABA MWENYE NYUMBA WAKE KIMEUKA

Stori:Waandishi wetu/Ijumaa
Inadaiwa kuwa kimenuka kati ya msanii Rehema Chalamila ‘Ray C’ na baba mwenye nyumba wake, Hussein Kassim baada ya mdada huyo kudaiwa kugoma kutoa vyombo vyake kwenye mgahawa aliopangishwa na mkataba kuisha. Msanii Rehema Chalamila ‘Ray C’. Ray C aliyekuwa akitoa huduma ya chakula na vinywaji kwa wafanyakazi wa Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar kupitia mgahawa wake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani