MPANGAJI ANAYELIPA KODI YA ZUIO ANAPASWA KUREJESHEWA NA MWENYE NYUMBA
Na. Peter Haule na Josephine Majura, WFM, Dodoma
Serikali imesema kuwa Sheria ya Kodi ya Mapato inaruhusu mpangaji wa nyumba ya biashara kusajiliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania na kuwa Wakala wa ukusanyaji wa Kodi ya Zuio (Withholding Tax) hivyo kuwa sehemu ya mlipaji wa kodi ya pango.
Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Pauline Gekul, aliyetaka kujua lini Serikali itabadili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Haki za mpangaji na majukumu ya mwenye nyumba kisheria
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Wajibu wa mpangishaji, mpangaji nyumba — 2
KATIKA makala iliyopita nilisema kwamba uhusiano wa mpangaji na mpangishaji nyumba au ardhi ni wa kisheria zaidi kwani unaratibiwa na sheria mbalimbali, mathalani kwa hapa Tanzania moja wapo ya sheria...
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Wakulima waondolewa kodi ya zuio
SERIKALI kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeondoa kodi ya zuio kwa wakulima ambao hawana namba la mlipakodi wakati wa kuuza mazao yao. Kauli hiyo imetokana na serikali kutambua kuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yTUWlFMh7cs/XuIFjw09-fI/AAAAAAALtaQ/Xs9TFY2To_45tQCF1U6bQUQCw8Cfvm2FACLcBGAsYHQ/s72-c/9fe362b7-127d-433f-9457-cd43bd5bbbfa.jpg)
WAFANYABIASHARA DAR WAELIMISHWA KUHUSU KODI YA ZUIO
![](https://1.bp.blogspot.com/-yTUWlFMh7cs/XuIFjw09-fI/AAAAAAALtaQ/Xs9TFY2To_45tQCF1U6bQUQCw8Cfvm2FACLcBGAsYHQ/s640/9fe362b7-127d-433f-9457-cd43bd5bbbfa.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/64fa644f-ce1a-48fe-953c-f23f5e761137.jpg)
Afisa Msimamizi wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bi. Catherine Mwakilagala akimuelimisha Mfanyabiashara wa eneo la Tabata Segerea jijini Dar es Salaam kuhusu masuala...
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: India imeweka zuio la watu kutotoka katika nyumba zao kabisa
10 years ago
GPL18 Jun
10 years ago
GPL07 Jul
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AWKaxj6s994/VN2X8WxMYEI/AAAAAAAAFRs/wAbJuTNnWwA/s72-c/faraja%2Bna%2Bnyarandu7899.jpg)
MH. NYALANDU AKIWA NA MAMA MWENYE NYUMBA WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-AWKaxj6s994/VN2X8WxMYEI/AAAAAAAAFRs/wAbJuTNnWwA/s640/faraja%2Bna%2Bnyarandu7899.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ax2fnParg98/VN2X8ZCcBAI/AAAAAAAAFRg/jIu1FWLkRJM/s640/faraja%2Bnyarandu091.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-svNgA1yv0YU/VN2X8BG0B6I/AAAAAAAAFRc/u6Gc-nQrcDg/s640/faraja%2Bkota45.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ*ayvxdq1jlaIDGEN2M1s6fM1cbzXd5T9mAmBu3fOcerabpic3hQ7T*rSTwRVpK9ZD4chlaNM81uIbu9WAcVK2-/BACKIJUMAA.jpg)
RAY C, BABA MWENYE NYUMBA WAKE KIMEUKA