Wakulima waondolewa kodi ya zuio
SERIKALI kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeondoa kodi ya zuio kwa wakulima ambao hawana namba la mlipakodi wakati wa kuuza mazao yao. Kauli hiyo imetokana na serikali kutambua kuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yTUWlFMh7cs/XuIFjw09-fI/AAAAAAALtaQ/Xs9TFY2To_45tQCF1U6bQUQCw8Cfvm2FACLcBGAsYHQ/s72-c/9fe362b7-127d-433f-9457-cd43bd5bbbfa.jpg)
WAFANYABIASHARA DAR WAELIMISHWA KUHUSU KODI YA ZUIO
![](https://1.bp.blogspot.com/-yTUWlFMh7cs/XuIFjw09-fI/AAAAAAALtaQ/Xs9TFY2To_45tQCF1U6bQUQCw8Cfvm2FACLcBGAsYHQ/s640/9fe362b7-127d-433f-9457-cd43bd5bbbfa.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/64fa644f-ce1a-48fe-953c-f23f5e761137.jpg)
Afisa Msimamizi wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bi. Catherine Mwakilagala akimuelimisha Mfanyabiashara wa eneo la Tabata Segerea jijini Dar es Salaam kuhusu masuala...
5 years ago
MichuziMPANGAJI ANAYELIPA KODI YA ZUIO ANAPASWA KUREJESHEWA NA MWENYE NYUMBA
Serikali imesema kuwa Sheria ya Kodi ya Mapato inaruhusu mpangaji wa nyumba ya biashara kusajiliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania na kuwa Wakala wa ukusanyaji wa Kodi ya Zuio (Withholding Tax) hivyo kuwa sehemu ya mlipaji wa kodi ya pango.
Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Pauline Gekul, aliyetaka kujua lini Serikali itabadili...
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/nYYPjGoCvPo/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Wakulima walia na kodi
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Wakulima waomba kodi sumbufu kuondolewa
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…
Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali yameendeela kuchukua sura mpya. Kupitia Mamlaka ya Mapato TRA Rais aliweza kufanya mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuwaondoa watendaji ambao walihusika katika upotevu wa fedha za umma pamoja na kuwabana wakwepa kodi ambao ni wafanyabiashara wakubwa. Kingine kilichonifikia leo kutoa kutoka kwa […]
The post Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…...
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Wapiganaji waondolewa Syria
10 years ago
Tanzania Daima25 Nov
Wafugaji Loliondo waondolewa hofu
SERIKALI imewatoa hofu jamii ya wafugaji wa kimasai waishio Tarafa ya Loliondo wilayani Ngorongoro juu kuwepo kwa taarifa za kuwaondoa katika eneo wanaloishi na kuligawa kwa mwekezaji kutoka Falme za...
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Wakazi Kigamboni waondolewa hofu
WIZARA ya Ujenzi imewatoa hofu wananchi wanaotumia vivuko vya Magogoni na Kigamboni kuwa hitilafu iliyotokea juzi ya kukatika kwa mlango wa kivuko ni ya kiufundi. Akizungumza na Tanzania Daima, Ofisa...