WAFANYABIASHARA DAR WAELIMISHWA KUHUSU KODI YA ZUIO
Afisa Msimamizi wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Isihaka Shariff akimuelimisha Mfanyabiashara wa maduka ya Ikupa Market katika eneo la Tabata Kinyerezi jijini Dar es Salaam kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu kodi wakati wa Kampeni endelevu ya Elimu kwa Mlipakodi iliyoanza tangu tarehe 8 Juni, 2020.
Afisa Msimamizi wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bi. Catherine Mwakilagala akimuelimisha Mfanyabiashara wa eneo la Tabata Segerea jijini Dar es Salaam kuhusu masuala...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Feb
Wafanyabiashara Lindi waonywa kuhusu kodi
WAFANYABIASHARA mjini Lindi wameshauriwa kulipa kodi stahiki za Serikali kuisaidia kunyanyua uchumi wa taifa.
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Wakulima waondolewa kodi ya zuio
SERIKALI kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeondoa kodi ya zuio kwa wakulima ambao hawana namba la mlipakodi wakati wa kuuza mazao yao. Kauli hiyo imetokana na serikali kutambua kuwa...
10 years ago
MichuziWAFANYABIASHARA WA JIJI LA DAR ES SALAAM WAITAKA SERIKALI KUPUNGUZA KODI
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara Dar es salaam (JWT), Philimon Chonde amesema suala la kupandishwa kwa kodi kwa asilimia mia moja limepitishwa kinyemela bila ya wao kuwashirikisha wala kujadiliana na wafanyabiashara hao.
Akizungumza leo katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Lamada Hotel jijini Dar es Salaam ukiwashirikisha wabunge, ameeleza kuwa mfumo wa kodi uliopo umekaa kikoloni kwani unawakandamiza wafanyabiashara ili waendelee kuwa ...
5 years ago
MichuziMPANGAJI ANAYELIPA KODI YA ZUIO ANAPASWA KUREJESHEWA NA MWENYE NYUMBA
Serikali imesema kuwa Sheria ya Kodi ya Mapato inaruhusu mpangaji wa nyumba ya biashara kusajiliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania na kuwa Wakala wa ukusanyaji wa Kodi ya Zuio (Withholding Tax) hivyo kuwa sehemu ya mlipaji wa kodi ya pango.
Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Pauline Gekul, aliyetaka kujua lini Serikali itabadili...
10 years ago
MichuziWAFANYABIASHARA MANISPAA YA SUMBAWANGA WALALAMIKIA KODI MBALIMBALI SERIKALINI, MKUU WA MKOA WA RUKWA AWATAKA KUWA WAZALENDO KULIPA KODI KWA HIARI KUJENGA NCHI YAO
9 years ago
StarTV24 Nov
Chadema yafungua kesi ya madai  kuhusu Zuio La Kuaga Mwili Wa Mawazo
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimefungua kesi ya madai katika mahakama kuu kanda ya Mwanza kutengua zuio la jeshi la polisi mkoani humo kuzuia wafuasi wa chama hicho wasiuage mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Geita.
Kesi hiyo namba 10 ya mwaka 2015 imefunguliwa kwa hati ya dharura sana kwa niaba ya mlalamikaji mchungaji Charles Lugiko ambaye ni baba mlezi wa marehemu.
Katika mahakama kuu kanda ya Mwanza wafuasi wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema...
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Wafanyabiashara wabanwa walipe kodi
10 years ago
Mwananchi06 Mar
Kodi yazidi kuwaliza wafanyabiashara
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Kodi za mabango zawakera wafanyabiashara