Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kodi yazidi kuwaliza wafanyabiashara

Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Dar es Salaam imeilalamikia Serikali kwa kupandisha kodi hadi kufikia asilimia 100 bila kutathmini mwenendo wa biashara hapa nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA MANISPAA YA SUMBAWANGA WALALAMIKIA KODI MBALIMBALI SERIKALINI, MKUU WA MKOA WA RUKWA AWATAKA KUWA WAZALENDO KULIPA KODI KWA HIARI KUJENGA NCHI YAO

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya akisikiliza risala ya umoja wa wafanyabiashara wa Manispaa ya Sumbawanga iliyokuwa ikisomwa kwake na Mwenyekiti wa umoja huo Ndugu Willington Kiziba Ndyetabura (Kulia). Katika risala hiyo yalikuwepo malalamiko mbalimbali ikiwemo ya matumizi ya mashine za EFD ambapo ni pamoja na gharama kubwa za mataengenezo, Ada ya ukaguzi wa majanga ya moto(Fire), Kupanda mara mbili kwa kodi ya mapato kwa wafanyabiashara wadogo na Ulinzi na Usalama kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Makontena yaliyokwepa kodi yazidi kuongezeka

MAKONTENA yaliyotolewa bila kulipa ushuru katika bandari ya Dar es Salaam yamezidi kuongezeka tangu Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipobaini kutoroshwa kwa makontena 2,431 katika bandari hiyo bila kulipa ushuru. Jana Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu, Suleiman Kova, alipozungumza na waandishi wa habari, alitaja idadi mpya ya makontena hayo iliyobainika katika uchunguzi unaoendelea, yamefikia 2,489, sawa na ongezeko la makontena mapya 58.

 

10 years ago

Mwananchi

Kodi za mabango zawakera wafanyabiashara

Chama cha Wafanyabiashara wa Viwanda na Kilimo (TCCIA), mkoani Morogoro kimesema baadhi ya sheria ndogo zinazotungwa na halmashauri, zimekuwa zikiwakandamiza wafanyabiashara na kusababisha migogoro baina yao na vyombo vingine vya Serikali.

 

9 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara wabanwa walipe kodi

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda amewataka wafanyabiashara  wadaiwa sugu kulipa kodi ndani ya siku saba  ili kutekeleza agizo la  Rais John Magufuli.

 

10 years ago

Mwananchi

Mfumo wa ulipaji kodi wawatesa wafanyabiashara

Umoja wa Wafanyabiashara Tanzania umeiomba Serikali kuboresha mfumo wa utozaji kodi kwa kutumia Mashine za Kieletroniki za Malipo (EFD) kwa kuwa makato wanayokatwa hayalingani na thamani ya ununuzi wa bidhaa husika.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yasamehe wafanyabiashara kulipa kodi

Serikali imekubali kupunguza viwango vya kodi kwa wafanyabiashara na kuiondoa kwa wale wenye mauzo yasiyozidi Sh4 milioni kwa mwaka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wafanyabiashara lipeni kodi kwa wakati’

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda, amewataka wafanyabiashara nchini kulipa kodi kwa wakati. Dk. Kigoda alitoa wito huo mwishoni mwa wiki wakati wa ufungunzi wa ukumbi wa mikutano...

 

10 years ago

Habarileo

Wafanyabiashara Lindi waonywa kuhusu kodi

Johnson MinjaWAFANYABIASHARA mjini Lindi wameshauriwa kulipa kodi stahiki za Serikali kuisaidia kunyanyua uchumi wa taifa.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yawasamehe wafanyabiashara kulipa kodi

Serikali imekubali kupunguza viwango vya kodi kwa wafanyabiashara na kuiondoa kwa wale wenye mauzo yasiyozidi Sh4 milioni kwa mwaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani