Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi Kigamboni waondolewa hofu

WIZARA ya Ujenzi imewatoa hofu wananchi wanaotumia vivuko vya Magogoni na Kigamboni kuwa hitilafu iliyotokea juzi ya kukatika kwa mlango wa kivuko ni ya kiufundi. Akizungumza na Tanzania Daima, Ofisa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Waislamu nchini waondolewa hofu

JAMII ya Kiislamu nchini imetolewa hofu ya upatikanaji wa mikopo kutokana na kuanzishiwa benki pamoja na vicoba vitakavyowawezesha kupata fursa hiyo bila kikwazo cha riba. Akizungumza katika kongamano la masheikh...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji Loliondo waondolewa hofu

SERIKALI imewatoa hofu jamii ya wafugaji wa kimasai waishio Tarafa ya Loliondo wilayani Ngorongoro juu kuwepo kwa taarifa za kuwaondoa katika eneo wanaloishi na kuligawa kwa mwekezaji kutoka Falme za...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kivuko cha MV Kigamboni kurejea kutoa huduma kwa wakazi wa Kigamboni

pix 1

Waziri wa Ujenzi  Dkt. John Magufuli  akiongea na wajumbe mbalimbali waliofika katika  uzinduzi wa kivuko cha Kigamboni  jana jijini Dar es  Salaam kinachofanyiwa matenganezo  na Jeshi la Wanamaji maeneo ya Kurasini ,ambacho kinatarajiwa kuanza kutumika rasmi alhamisi wiki hii.

pix 2

Mtendaji  Mkuu  Temesa Injinia  Marceline Magesa akitoa neno la shukrani  kwa Jeshi la Wanamaji waliwezesha matengenezo ya Mv Kigamboni jana jijini Dar es Salaam ambapo kinatarajiwa kuanza kutumiwa na wananchi wiki...

 

9 years ago

Bongo5

Wateja wa Mall mpya ya Nairobi waondolewa kwa hofu ya shambulio la kigaidi

Wateja waliokuwa ndani ya mall mpya na kubwa iliyopo jijini Nairobi Kenya waliondolewa jana baada ya mtu aliyehisiwa kuwa na bomu la kutengeneza kuonwa na walinzi. Polisi walidai kuwa watu watatu walikamatwa kufuatia tukio hilo kwenye Garden City Mall iliyojengwa kwa dola milioni 250. Mall za Kenya zimekuwa kwenye ulinzi wa hali ya juu tangu […]

 

10 years ago

Mwananchi

Wakazi Kigamboni wataka viwanja

Baadhi ya wakazi wa Kata ya Somangila, Kigamboni wilayani Temeke, wameikumbusha Serikali ahadi yao ya kupewa viwanja baada ya kupisha uwekezaji wa ujenzi wa mji wa kisasa wa Avic.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Wakazi Kigamboni kulipwa mamilioni



 Thamani ya ekari moja ni milioni 141/-  Ni fidia ya kupisha ujenzi wa mji mpya
NA TUMAINI MSOWOYA, DODOMA
WAKAZI wa Kigamboni, Dar es Salaam, ambao maeneo yao yatachukuliwa kwa ajili ya kupisha ujenzi wa mji mpya, watalipwa fidia ya shilingi milioni 141.6 kwa ekari moja.
Malipo hayo ni sawa na  sh. 35,000 kwa mita moja ya mraba.
Malipo hayo yalitangazwa juzi na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, alipokuwa akiwasilisha bungeni Makadirio ya Mapato na...

 

9 years ago

Mwananchi

Abood awaondoa hofu wakazi wa CCT

Mbunge wa Morogoro Mjini (CCM), Abdulazizi Abood amewatoa hofu ya kubomolewa nyumba zao wakazi wa Mtaa wa CCT, Manispaa ya Morogoro baada ya nyumba 15 za mtaa huo kubomelewa kwa makosa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Babati na hofu magonjwa ya matumbo

HALI ya usafi katika maeneo kadhaa mjini Babati mkoani Manyara si ya kuridhisha kutokana na uchafuzi wa mazingira unaofanywa na baadhi ya wakazi wake. Wakazi hawa hutupa takataka ovyo kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani