Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi Babati na hofu magonjwa ya matumbo

HALI ya usafi katika maeneo kadhaa mjini Babati mkoani Manyara si ya kuridhisha kutokana na uchafuzi wa mazingira unaofanywa na baadhi ya wakazi wake. Wakazi hawa hutupa takataka ovyo kwenye...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

DKT. BILAL AZINDUA KITUO CHA TIBA, UCHUNGUZI NA MAFUNZO YA MAGONJWA YA SARATANI, MATUMBO NA INI UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI CHAFUNGULIWA MUHIMBILI

Kituo cha uchunguzi na mafunzo ya magonjwa ya saratani, matumbo na ini Ukanda wa Afrika Mashariki kimefunguliwa rasmi mwishoni mwa juma. Sherehe hizo zilifanyika katika Hospitali ya Taifa Muhimbili mwishoni mwa juma ambapo Mgeni rasmi alikuwa Makamu wa Rais, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal. Fuatilia katika picha matukio wakati wa ufunguzi. Description: DSC_1474 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akipongezana na Profesa Meinrad Classen wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Dkt. Bilal afungua kituo cha tiba, uchunguzi na mafunzo ya magonjwa na saratani za matumbo na Ini cha hospitali ya Taifa Muhimbili, Jijini Dar

01

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati wa hafla ya ufunguzi wa Jengo la Kituo cha Tiba, Uchunguzi na Mafunzo ya Magonjwa na Saratani za Matumbo na Ini cha Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati wa Hafla fupi ya ufunguzi huo iliyofanyika Hospitalini hapo jijini Dar es Salaam, jana  Mei 30, 2014. (Picha na OMR).

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (katikati) Mwakilishi wa Taasisi ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Wakazi Babati kuwezeshwa kiuchumi

Mbunge mteule wa Babati Vijijini Mkoa wa Manyara, Virajlal Jituson (CCM) amesema anatarajia kuwajengea uwezo wa kiuchumi wakazi wa jimbo hilo kwa fedha za makusanyo ya mapato ya halmashauri ya Babati Vijijini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Tungi wahofia magonjwa ya mlipuko

WAKAZI wa Kata ya Tungi, Manispaa ya Morogoro, wamekumbwa na hofu ya kupata magonjwa ya mlipuko kutokana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (Moruwasa) kutowapatia majisafi na salama...

 

9 years ago

StarTV

  Hofu ya magonjwa ya milipuko yatanda Hospitali ya wilaya Ya Hai kutokana na Vyoo Kujaa

Hofu ya kukumbwa na maradhi mbalimbali kama kipindupindu, kuhara na homa ya matumbo imetanda kwa wagonjwa waliolazwa katika hospitali ya wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro kutokana na vyoo wanavyotumia wagonjwa hao kujaa.

Hali hiyo imeleta sintofahamu kubwa juu ya usalama wa maisha yao hasa katika kipindi hiki cha Mvua kinachoambatana na magonjwa mbalimbali ya mlipuko.

 Ni maswali ambayo wamebaki wakijiuliza baadhi ya akinamama wanaouguza watoto wao katika wodi hii .

Baada ya star tv...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi wa Songea waingia lawamani kwa magonjwa ya mlipuko

Wananchi Mkoani Ruvuma wametakiwa kuweka uchafu kuwa adui wao mkubwa na kuufanya usafi uwe rafiki wa kila wananchi  ili kuepukana na kisababisho kikubwa cha kifo ambacho ni uchafu.

Kamanda wa Police Mkoani Ruvuma Mihayo Msekhela ameyasema hayo wakati akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu  katika  kutekeleza adhima ya kufanya uasafi  kila suku ya jumamosi ya mwisho wa Mwezi

Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Mihayo Msekhela amesema kila mwananchi anatakiwa auchukie uchafu...

 

9 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya wakazi 5,000 hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko

SAM_0061

Choo cha muda kinachotumiwa na wanafunzi pamoja na walimu wa shule ya msingi TARU namba saba. (Picha zote na Jumbe Ismailly).

SAM_0066

Baadhi ya wananchi wa kata ya Mang’onyi wakiwa kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mkuu kumnadi mgombea wa ubunge wa jimbo hilo.

Na Jumbe Ismailly, Ikungi            

ZAIDI ya wakazi 5,000 wa Kijiji cha Sambaru,kata ya Mang’onyi,wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida wamo hatarini kupatwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na kujisaidia vichakani kwa kutokuwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Kigamboni waondolewa hofu

WIZARA ya Ujenzi imewatoa hofu wananchi wanaotumia vivuko vya Magogoni na Kigamboni kuwa hitilafu iliyotokea juzi ya kukatika kwa mlango wa kivuko ni ya kiufundi. Akizungumza na Tanzania Daima, Ofisa...

 

9 years ago

Mwananchi

Abood awaondoa hofu wakazi wa CCT

Mbunge wa Morogoro Mjini (CCM), Abdulazizi Abood amewatoa hofu ya kubomolewa nyumba zao wakazi wa Mtaa wa CCT, Manispaa ya Morogoro baada ya nyumba 15 za mtaa huo kubomelewa kwa makosa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani