Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi Babati kuwezeshwa kiuchumi

Mbunge mteule wa Babati Vijijini Mkoa wa Manyara, Virajlal Jituson (CCM) amesema anatarajia kuwajengea uwezo wa kiuchumi wakazi wa jimbo hilo kwa fedha za makusanyo ya mapato ya halmashauri ya Babati Vijijini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

30,170 kuwezeshwa na mradi kielimu, kiuchumi

WAKAZI wapatao 30,170 kutoka katika familia maskini katika vijiji 20 vya wilaya za Sikonge, Urambo na Kaliua, mkoani Tabora wanatarajiwa kunufaika kielimu na kiuchumi kutokana na jitihada  za uwezeshwaji zinazofanywa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kaya 5,000 za Mbozi kuwezeshwa kiuchumi

Kaya 5,000 za wakulima na wafugaji katika Kata za Isansa na Igamba, wilayani Mbozi zitaingia kwenye mfumo maalumu wa uchumi utakaohusisha ufugaji ng’ombe wa maziwa kwa lengo kupambana na umaskini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Babati na hofu magonjwa ya matumbo

HALI ya usafi katika maeneo kadhaa mjini Babati mkoani Manyara si ya kuridhisha kutokana na uchafuzi wa mazingira unaofanywa na baadhi ya wakazi wake. Wakazi hawa hutupa takataka ovyo kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

exim bank (Tawi la Babati) yashiriki bonanza la michezo Babati

 Kikosi cha Timu ya Benki ya Exim Tawi la Babati katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wa kirafiki kuanza kati ya timu hiyo ya Benki na timu ya Babati Citizens FC wakati wa Bonanza la michezo lililofanyika mwishoni mwa wiki Babati. Bonanza hilo liliandaliwa na ofisi ya mkuu wa mkoa mkoani Manyara lilikiwa na lengo la kukuza michezo mkoani hapo.

 

9 years ago

Habarileo

Wahitimu JKT kuwezeshwa kujiajiri

VIJANA wanaohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa kujitolea na kurudi makwao bila kupata ajira, wamewekewa mpango maalumu wa kuwafuatilia na kuwawezesha kujiajiri popote watakapokuwa nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Operesheni Tokomeza kuendelea kuwezeshwa

SERIKALI imeahidi kuendelea kuiwezesha na kuipa ushirikiano Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza ili iendelee kutekeleza na hatimaye kukamilisha majukumu yake kama ilivyokusudiwa.

 

10 years ago

Habarileo

Ahimiza serikali za mitaa kuwezeshwa

MRATIBU wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania Alvaro Rodriguez ametaka serikali za tawala za mikoa na serikali za mitaa kuwezeshwa zaidi ili kuweza kuwatumikia wananchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwimbaji injili aomba kuwezeshwa

MWIMBAJI chipukizi wa nyimbo za injili anayekuja kwa kasi, Magdalena Nyambalya, amesema ndoto yake ni kuja kuwa mwimbaji jukwaani. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam juzi, Nyambalya alisema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazawa hawahitaji upendeleo, bali kuwezeshwa

NILIMSIKILIZA Rais Jakaya Kikwete akizungumza katika kongamano kuhusu gesi asilia Jumanne iliyopita. Kwa hakika alijitahidi kujenga hoja kwanini serikali haiwezi kuwapendelea wazawa katika suala la uwekezaji katika gesi asilia. Nimemuelewa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani