Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


exim bank (Tawi la Babati) yashiriki bonanza la michezo Babati

 Kikosi cha Timu ya Benki ya Exim Tawi la Babati katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wa kirafiki kuanza kati ya timu hiyo ya Benki na timu ya Babati Citizens FC wakati wa Bonanza la michezo lililofanyika mwishoni mwa wiki Babati. Bonanza hilo liliandaliwa na ofisi ya mkuu wa mkoa mkoani Manyara lilikiwa na lengo la kukuza michezo mkoani hapo.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

TIGO yashiriki bonanza la michezo la makampuni

1

Timu ya kampuni ya Tigo ikiwa kwenye picha ya pamoja kabla ya mchezo wenye lengo la uhusiano bora wa makampuni.

2

Wachezaji wa Kampuni ya  Tigo na  Caspian wakichuana kwenye mpambano mkali jana viwanja vya Chuo cha Ardhi.

3

4

5

6

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yatangaza washindi wa droo ya kwanza ya kampeni ya 'Chanja Kijanja na Exim Bank Mastercard'

 Benki ya Exim Tanzania hii leo imetangaza washindi watano wa mwezi katika kampeni yake ya 'Chanja Kijanja na Exim Mastercard'. Kampeni hiyo inalenga kuhamasisha wateja wa benki ya Exim kutumia kadi zao za Mastercard katika manunuzi ya mtandaoni au kufanya malipo kupitia mashine za malipo (POS) katika maduka mbalimbali na maeneo mengine nchini.
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kuwatangaza washindi wa droo ya kwanza  wa kampeni hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Babati yalia utekelezaji bajeti

HALMASHAURI ya Wilaya ya Babati, mkoani Manyara inakabiliwa na changamoto ya utekelezaji wa ukusanyaji wa mapato ya zaidi ya sh bil. 31 kwa bajeti ya mwaka 2013/2014 kutoka katika vyanzo...

 

9 years ago

StarTV

Askari Magereza mbaroni Babati

Polisi mkoani Manyara inamshikilia askari mmoja wa jeshi la Magereza wilayani Babati mkoani Manyara kwa tuhuma za kuwashawishi wenzake 10 kuwavamia wakazi wa eneo la Kijiweni Mrara wilayani humo na kuwapiga pamoja na kuharibu mali zao.

Askari anayeshikiliwa na polisi ni Konstebo Jackson ambaye inasemekana aliwashawishi wenzake baada ya yeye kupigwa na wakazi hao wakati akiamua ugomvi wa vijana katika eneo hilo. Mwanahabari wetu Zacharia Mtigandi ametuandalia jicho letu mikoani ambalo...

 

10 years ago

IPPmedia

IAA launches new campus in Babati


IPPmedia
IAA launches new campus in Babati
IPPmedia
Manyara Regional Commissioner Erasto Mbilo (L) officially launches the new campus for Institute of Accountancy Arusha in Babati in manyara Region on Wednesday. The Institute of Accountancy Arusha (IAA) on Wednesday launched a new campus in ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Daktari wa ‘kichina’ anaswa Babati

WATU saba wametiwa mbaroni na Jeshi la Polisi mkoani Manyara, akiwemo daktari bandia na wengine katika mtandao wa wizi wa magari uliyotokea jijini Dar es Salaam kwa nyakati tofauti. Kamanda...

 

9 years ago

Mwananchi

Wakazi Babati kuwezeshwa kiuchumi

Mbunge mteule wa Babati Vijijini Mkoa wa Manyara, Virajlal Jituson (CCM) amesema anatarajia kuwajengea uwezo wa kiuchumi wakazi wa jimbo hilo kwa fedha za makusanyo ya mapato ya halmashauri ya Babati Vijijini.

 

10 years ago

Michuzi

SIKU YA KULA UYOGA YAFANA BABATI



Shiriko lisilo la Kiserikali la Farm Africa kwa kushirikiana na wakulima wa uyoga wa wilaya za Mbulu na Babati wiki iliyopita waliandaa siku maalum ya kula uyoga kwa wakazi wa wilaya hizo.
Tukio hilo lilifanyika katika katika kitongoji cha Magugu wilayani Babati ambapo wakazi walipata nafasi ya kuonja aina mbalimbali za mapishi ya uyoga.Wakulima 15 wa uyoga walio katika mradi wa Misitu wa Farm Africa walishiriki shughuli hiyo kwa kupika na kugawa  bure uyoga uliopikwa kwa wakazi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani