TIGO yashiriki bonanza la michezo la makampuni
Timu ya kampuni ya Tigo ikiwa kwenye picha ya pamoja kabla ya mchezo wenye lengo la uhusiano bora wa makampuni.
Wachezaji wa Kampuni ya Tigo na Caspian wakichuana kwenye mpambano mkali jana viwanja vya Chuo cha Ardhi.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3cvOrxqZiy8/VPP3nG6lNxI/AAAAAAAC0ws/zSjT2gJVFcA/s72-c/eximite%2BBabati.jpg)
exim bank (Tawi la Babati) yashiriki bonanza la michezo Babati
![](http://1.bp.blogspot.com/-3cvOrxqZiy8/VPP3nG6lNxI/AAAAAAAC0ws/zSjT2gJVFcA/s1600/eximite%2BBabati.jpg)
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Makampuni 37 yashiriki maonyesho ya siku ya Malaria nchini
Mkurugenzi wa kampuni ya Frontline Porter Novelli Bi. Irene Kiwia akimkaribisha Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk.Seif Suleiman Rashid kwenye maonyesho ya siku ya malaria yaliyofanyika jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Suleiman Rashid alipotembelea banda la malaria safe lililokuwa linasimamiwa na wafanyakazi wa Johnhopkins University kwenye maonyesho ya siku ya Malaria.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Suleiman Rashid...
9 years ago
Dewji Blog11 Oct
Tigo yashiriki matembezi ya kuchangia saratani ya matiti
Afisa huduma kwa jamii wa Kampuni ya Tigo, May Thomas (kulia) akishiriki matembezi ya kuchangia fedha kwa ajili ya Saratani ya matiti kwa akinamama yaliyodhaminiwa na kampuni hiyo Dar es Salam jana.
Washiriki wa matembezi ya hisani ya kuchangia fedha kwa ajili ya Saratani ya matiti kwa akinamama yaliyodhaminiwa na kampuni ya Tigo jijini Dar es Salam jana.
9 years ago
Dewji Blog08 Sep
Bonanza la Tigo Corporate Event lafana mjini Morogoro
Kikundi cha burudani cha Da Hustler Dancers cha mkoani Morogoro kikifanya onyesho katika Bonanza la Tigo Corporate Event lililofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Solomon Mahlangu Morogoro.
Mchezaji wa timu ya netball ya St. Joseph, Salome John akifunga doli katika mchezo wao dhidi ya timu ya tigo. Kwnye mchezo huo Tigo walilala kwa vikapu 5-0.
Meneja wa Tigo mkoa wa Morogoro na Tanga, Abasi Abel akisalimiana na wachezaji wa timu ya Polisi Chipolopolo katika ufunguzi wa bonanza la...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pNvgjcCgAAk/U1Jm4wt5P5I/AAAAAAAFb0A/Bdqr0LnaFk0/s1600/b1.jpg)
BONANZA LA MICHEZO LA PPF LAFANA SANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EY89-_HCRks/U1Jm70MGSQI/AAAAAAAFb0I/WxN0jeuZMzs/s1600/b2.jpg)
11 years ago
GPLBONANZA LA MICHEZO LA VIJANA LAFANYIKA JIJINI MBEYA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i6H1b8AlbiY/VWtMh5zTC0I/AAAAAAAAsl0/V_Kz4_Nfjyw/s72-c/IMG-20150531-WA004.jpg)
TBL yadhamini Bonanza la Michezo jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-i6H1b8AlbiY/VWtMh5zTC0I/AAAAAAAAsl0/V_Kz4_Nfjyw/s640/IMG-20150531-WA004.jpg)
Meneja Matukio wa TBL mkoa wa Dar es salaam, Zozimick Kimati (kushoto) akikabidhi sehemu ya jezi kwa Bw. Hamis Mwango, zilizotumiwa na timu mbali mbali zilizoshiriki kwenye Bonanza la Michezo lililodhaminiwa na TBL, ikiwa ni sehemu ya kuendeleza michezo nchini.
![](http://1.bp.blogspot.com/-yaYvlUiG7vM/VWtMiC7yfII/AAAAAAAAsl8/UxRom_bj8cg/s640/IMG-20150531-WA005.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zay-EB91uWA/VWtMiLYByfI/AAAAAAAAsl4/dkwHQwCzM7U/s640/IMG-20150531-WA003.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-x7llgrNbAuA/Vh2gBDR3wII/AAAAAAAH_0E/XZYlm0MS7Z4/s72-c/M1.jpg)
MWENYEKITI WA MAKAMPUNI YA PROIN PROMOTION ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO
![](http://3.bp.blogspot.com/-x7llgrNbAuA/Vh2gBDR3wII/AAAAAAAH_0E/XZYlm0MS7Z4/s640/M1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zXGf30QvHS4/Vh2gBmB5VQI/AAAAAAAH_0M/-95GNobEFcE/s640/M2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gog-T69WYao/U7BfTHWAGFI/AAAAAAAFtgk/aVs9PEzHOjs/s72-c/article-2673148-1F3648D200000578-549_636x382.jpg)
Nike yaongoza mtanange wa makampuni ya vifaa vya michezo katika kombe la dunia Brazil
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gog-T69WYao/U7BfTHWAGFI/AAAAAAAFtgk/aVs9PEzHOjs/s1600/article-2673148-1F3648D200000578-549_636x382.jpg)
Uwezo wa kifedha wa Nike unaipaisha kampuni hiyo katika vita vya Kombe la Dunia 2014 kwa kuiongoza kampuni ya Adidas kwa mabao 4 katika awamu ya makundi ya michuano hiyo huko Brazil. Kampuni ya Nike ambayo ndio kubwa zaidi duniani kwa vifaa vya michezo imeonesha umwamba wake baada ya nyota inayowadhamini kufunga mabao 61 katika awamu hiyo ya makundi, huku Adidas ikifuatia kwa magoli 57. Lakini Adidas wanaweza kupata ahueni kwa kuwa na njumu bora,...