SIKU YA KULA UYOGA YAFANA BABATI

Shiriko lisilo la Kiserikali la Farm Africa kwa kushirikiana na wakulima wa uyoga wa wilaya za Mbulu na Babati wiki iliyopita waliandaa siku maalum ya kula uyoga kwa wakazi wa wilaya hizo.
Tukio hilo lilifanyika katika katika kitongoji cha Magugu wilayani Babati ambapo wakazi walipata nafasi ya kuonja aina mbalimbali za mapishi ya uyoga.Wakulima 15 wa uyoga walio katika mradi wa Misitu wa Farm Africa walishiriki shughuli hiyo kwa kupika na kugawa bure uyoga uliopikwa kwa wakazi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziSIKU YA MKULIMA WA UFUTA BABATI YAFANA SANA
10 years ago
Habarileo27 Jan
Wawili wafa kwa kula uyoga
WATU wawili wa familia moja wamefariki dunia katika Kijiji cha Masyalele, Wilaya ya Nanyumbu Mkoa wa Mtwara baada ya kula uyoga unaosadikiwa kuwa sumu. Pia wengine wanne walazwa akiwamo mtoto wa miaka mitatu katika kituo cha afya cha Mangaka.
11 years ago
Michuzi.jpg)
WILAYA YA BABATI YAADHIMISHA SIKU YA SERIKALI ZA MITAA
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi
exim bank (Tawi la Babati) yashiriki bonanza la michezo Babati

10 years ago
Habarileo02 Jan
Wazee wasusa kula siku 2 wakimlilia RC Massawe
WAZEE wasiojiweza na watoto yatima walioko katika Kituo cha Kiilima kilichoko Bukoba Vijijini, wamesema walilazimika kususa kula kwa siku mbili mwezi uliopita baada ya kupata habari za kuondolewa kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe.
10 years ago
GPL10 years ago
Mwananchi14 Jun
Zinakaribia siku za CCM kula gizani machungwa yaliyooza
10 years ago
Dewji Blog24 Oct
Maadhimisho ya Siku ya Takwimu Duniani yafana
Wanafunzi wa Stashada wa Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika wakiwa wameshikilia bendera za nchi wanachama wanaoshikiana na nchi ya Tanzania kuendesha chuo hicho wakati wa maadhimisho ya Siku ya Takwimu Duniani yaliyofanyika jana katika Chuo hicho kilichopo jijini Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni “Takwimu Bora, Maisha Bora”.
Baadhi ya washiriki wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa (hayupo pichani) wakati akihutubia kwenye...
9 years ago
Michuzi
SIKU YA FAMILIA YA GAPCO TANZANIA YAFANA SANA



Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10