Wazee wasusa kula siku 2 wakimlilia RC Massawe
WAZEE wasiojiweza na watoto yatima walioko katika Kituo cha Kiilima kilichoko Bukoba Vijijini, wamesema walilazimika kususa kula kwa siku mbili mwezi uliopita baada ya kupata habari za kuondolewa kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
RC Massawe akemea wanaobagua wazee
MKUU wa Mkoa (RC) wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe amewataka wahudumu wa afya kuacha tabia ya kuwabagua wagonjwa wenye kadi za bima ya afya, hususani wazee wakati wanapofika vituoni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nJhb2izRqBY/VAhq97ehDTI/AAAAAAAGd7g/j2HX_FfsYZw/s72-c/Ni%2Bwakati%2Bwa%2Bkula%2Buyoga!.jpg)
SIKU YA KULA UYOGA YAFANA BABATI
Shiriko lisilo la Kiserikali la Farm Africa kwa kushirikiana na wakulima wa uyoga wa wilaya za Mbulu na Babati wiki iliyopita waliandaa siku maalum ya kula uyoga kwa wakazi wa wilaya hizo.
Tukio hilo lilifanyika katika katika kitongoji cha Magugu wilayani Babati ambapo wakazi walipata nafasi ya kuonja aina mbalimbali za mapishi ya uyoga.Wakulima 15 wa uyoga walio katika mradi wa Misitu wa Farm Africa walishiriki shughuli hiyo kwa kupika na kugawa bure uyoga uliopikwa kwa wakazi wa...
10 years ago
Mwananchi14 Jun
Zinakaribia siku za CCM kula gizani machungwa yaliyooza
10 years ago
MichuziZANZIBAR YAADHIMISHA SIKU YA WAZEE DUNIANI
10 years ago
Bongo Movies06 Dec
SIKU YAKE YA KUZALIWA: Jackline Wolper Awatembea Wazee Wasiojiweza
Leo ni siku ya kuzaliwa ya Muigizaji Jackline Wolper, akiongozana na baadhi ya waigizaji wenzie wakiwemo Kajala na Nanaiki, Wamewatembelea wazee wasio jiweza na hiki ndicho alicho andika kwenye ukurasa wake wa INSTAGRAM
“Jamani wapenzi wangu flwz wangu wote sku yangu yakuzaliwa ilikua poa saana jmn am happy nimetembelea ktuo hiki cha wazee wasojiweza kinachosimamiwa na masista ...kiukwel namshukuru Mungu kwa moyo waupendo namapenzi kuwaza nakukumbuka kma kuna watu kma hawa ambao pia...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rUftHhKiIb8/Vg2Ev318fEI/AAAAAAAH8QQ/DyC2fa3KfKU/s72-c/Ar4hDWc4t7qA3C2APRc7MbHmOeaemsqTHch_4JRQN6HZ.jpg)
MFUKO WA BIMA(NHIF) YA KIGOMA WAWAKUMBUKA WAZEE LEO KATIKA SIKU YAO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rUftHhKiIb8/Vg2Ev318fEI/AAAAAAAH8QQ/DyC2fa3KfKU/s640/Ar4hDWc4t7qA3C2APRc7MbHmOeaemsqTHch_4JRQN6HZ.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Haj7NnWPswU/Vg2Er7ojw9I/AAAAAAAH8QI/ivdV1b9UXOs/s640/AptOPO1IAXovjjGJz6hL5pqXr5F3fMXhlGRuFxJl4EOY.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9_vx_zwrAqo/Vg2E1fns-JI/AAAAAAAH8QY/H9wrMsWWD34/s640/As2iROn97xVUitLjTD392PJpbnn5_T6b_fVWE81X3Sws%2B%25281%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iU0PEOjLVuE/Vg2FFspufaI/AAAAAAAH8Qo/Bi7pawvXfjk/s640/AtaPwioQ3p4AGmUI6QOkCle5X6XYP6rmfBmSXmt_62or.jpg)
Na Editha Karlo.KigomaMFUKO wa Bima ya afya...
5 years ago
MichuziJohari Rotana washerekea siku ya wanawake duniani kwa kula chakula cha mchana na wanawake
10 years ago
VijimamboMATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0
MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-
YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...
5 years ago
MichuziWAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE
Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu. Akisoma...