SIKU YAKE YA KUZALIWA: Jackline Wolper Awatembea Wazee Wasiojiweza
Leo ni siku ya kuzaliwa ya Muigizaji Jackline Wolper, akiongozana na baadhi ya waigizaji wenzie wakiwemo Kajala na Nanaiki, Wamewatembelea wazee wasio jiweza na hiki ndicho alicho andika kwenye ukurasa wake wa INSTAGRAM
“Jamani wapenzi wangu flwz wangu wote sku yangu yakuzaliwa ilikua poa saana jmn am happy nimetembelea ktuo hiki cha wazee wasojiweza kinachosimamiwa na masista ...kiukwel namshukuru Mungu kwa moyo waupendo namapenzi kuwaza nakukumbuka kma kuna watu kma hawa ambao pia...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWOLPER ATOA MSAADA KWA WAZEE WASIOJIWEZA JIJINI DAR
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Jackline Wolper arudia dini yake
MIEZI michache baada ya kuapa kwamba hatobadilisha tena dini kwa kwani kwa kufanya hivyo, ni sawa na kumchezea Mungu, mwigizaji mwenye nyota kali, Jackline Wolper, ameshindwa kusimamia kiapo hicho na...
9 years ago
Bongo Movies28 Aug
Uchaguzi 2015: Jackline Wolper Atangaza Kujiita ‘Jackline Lowassa’
Mastaa wa Bongo Movies, Jackline Wolper , Aunt Ezekiel na Shamsa Ford ambao wamekuwa wakimuunga mkono mgombea urasi wa UKAWA kupitia tiketi ya CHADEMA, Mh Edward Lowassa siku ya jana kwenye Mkutano wa Edward Lowassa na wanawake wa Dar es salaam kwenye ukumbi wa Millenium Tower, mbali na kuelezea kumuunga mkono mgombea huyo mastaa kumzawadia keki ya ‘Birthday’ ya kutimiza 62 ya kuzaliwa ya mgombea huyo.
Akiongea kwenye mkutano huo wolper alitangaza kuanzia jana atakuwa akiitwa Jackline...
11 years ago
Bongo Movies30 Jun
SHEHE Amcharukia Jackline Wolper. Ni kutokana na tabia yake ya kubadili badili dini.
TABIA ya staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper kubadilibadili dini mara kwa mara imeonekana kuwakera watu mbalimbali akiwemo Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum ambaye amemcharukia vikali.
Wolper kiimani ni Mkristo lakini hivi karibuni alibadili na kuwa Muislam kabla ya kurejea tena kwenye imani yake ya awali ya ukristo.
Sababu ya Wolper kubadili dini ilikuwa ni kufunga ndoa na aliyekuwa mchumba wake Abdallah Mtoro ‘Dalas’, walipoachana akaamua kurudi kwenye...
10 years ago
Bongo Movies02 Jan
Lulu Amzawadia Nyumba Mama Yake Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael, ‘Lulu’siku ya jana alimfanyia sherehe mama yake mzazi kwa kufikisha miaka 45 ya kuzaliwa ilyofanyika kwenye hoteli ya Great Wall, Masaki ambapo mastaa kadhaa wa hapa bongo walihudhuria sherehe hiyo ambapo inadaiwa kuwa mbali kuandaa sherehe hizo mwanadada Lulu alimzawadia jumba mama yake ambayo inasemekana ipo Kimara hapa jijini Dar.
Hii ni kwa mijibu wa mwigizaji Flora Mvungi “H mama”ambae ni moja kati ya mastaa kadhaa waliohudhuria...
10 years ago
CloudsFM03 Feb
PETIT MAN AMFANYIA ‘’SURPRISE’DADA YAKE DIAMOND KWENYE SIKU YAKE YA KUZALIWA
Meneja wa msanii wa Bongo Fleva,Mirror,Petit Man kutoka kampuni ya Endless Fame chini yake Wema Sepetu jana alimfanyia Surprise mke wake ambaye ni dada yake aitwaye Esma Platinumz kwa kumzawadia zawadi ya gari kwenye sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika Samaki Samaki maeneo ya Masaki.
Katika Sherehe iliyohudhuliwa na mastaa kibao akiwemo Wema Sepetu,Petit Man wakati akimzawadia mke wake huyo hakuamini na kuanza kulia kwa furaha.
Kupitia Instagram Esma aliandika hivi....Thank u my husband for...
11 years ago
GPL![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/01/IMG-20140115-WA0073.jpg?width=480)
H.BABA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mZF3gMeSFpw/VhWX3k-AgeI/AAAAAAAH9gE/kJHF4KSKmis/s72-c/hb2.jpg)
JK ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WAJUKUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-mZF3gMeSFpw/VhWX3k-AgeI/AAAAAAAH9gE/kJHF4KSKmis/s640/hb2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9nyGk1LZxy4/VhWYyD2G1JI/AAAAAAAH9g8/1tc5zQx64yk/s640/hb3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-upfQJLV-QMY/VhWZKBFYW_I/AAAAAAAH9hU/qDD8_TCm2-8/s640/hb4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fwDVhxLt46o/VhWZgzejnAI/AAAAAAAH9hc/xkNp5jsur54/s640/hb5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cAvmJS0zLoE/VhWZ1TyavCI/AAAAAAAH9hs/xj56jVnK9HA/s640/hb7.jpg)