Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHEHE Amcharukia Jackline Wolper. Ni kutokana na tabia yake ya kubadili badili dini.

TABIA ya staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper kubadilibadili dini mara kwa mara imeonekana kuwakera watu mbalimbali akiwemo Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum ambaye amemcharukia vikali.

Wolper kiimani ni Mkristo lakini hivi karibuni alibadili na kuwa Muislam kabla ya kurejea tena kwenye imani yake ya awali ya ukristo.

Sababu ya Wolper kubadili dini ilikuwa ni kufunga ndoa na aliyekuwa mchumba wake Abdallah Mtoro ‘Dalas’, walipoachana akaamua kurudi kwenye...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SHEHE AMCHARUKIA WOLPER

Stori:Gladness Mallya TABIA ya staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper kubadilibadili dini mara kwa mara imeonekana kuwakera watu mbalimbali akiwemo Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum ambaye amemcharukia vikali. Staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper akipozi. Wolper kiimani ni Mkristo lakini hivi karibuni alibadili na kuwa Muislam kabla ya kurejea tena kwenye imani yake ya awali ya ukristo. Sababu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jackline Wolper arudia dini yake

MIEZI michache baada ya kuapa kwamba hatobadilisha tena dini kwa kwani kwa kufanya hivyo, ni sawa na kumchezea Mungu, mwigizaji mwenye nyota kali, Jackline Wolper, ameshindwa kusimamia kiapo hicho na...

 

9 years ago

Bongo Movies

Uchaguzi 2015: Jackline Wolper Atangaza Kujiita ‘Jackline Lowassa’

Mastaa wa Bongo Movies, Jackline Wolper , Aunt Ezekiel na Shamsa Ford ambao wamekuwa wakimuunga mkono mgombea urasi wa UKAWA kupitia tiketi ya CHADEMA, Mh Edward Lowassa siku ya jana kwenye  Mkutano wa Edward Lowassa na wanawake wa Dar es salaam kwenye ukumbi wa Millenium Tower, mbali na kuelezea kumuunga mkono mgombea huyo  mastaa  kumzawadia keki ya ‘Birthday’ ya kutimiza 62 ya kuzaliwa ya mgombea huyo.

Akiongea kwenye mkutano huo wolper alitangaza kuanzia jana atakuwa akiitwa Jackline...

 

10 years ago

Bongo Movies

SIKU YAKE YA KUZALIWA: Jackline Wolper Awatembea Wazee Wasiojiweza

Leo ni siku ya kuzaliwa ya Muigizaji  Jackline Wolper, akiongozana na baadhi ya waigizaji wenzie wakiwemo Kajala na Nanaiki, Wamewatembelea  wazee wasio jiweza na hiki ndicho alicho andika kwenye ukurasa wake wa INSTAGRAM

“Jamani wapenzi wangu flwz wangu wote sku yangu yakuzaliwa ilikua poa saana jmn am happy nimetembelea ktuo hiki cha wazee wasojiweza kinachosimamiwa na masista ...kiukwel namshukuru Mungu kwa moyo waupendo namapenzi kuwaza nakukumbuka kma kuna watu kma hawa ambao pia...

 

10 years ago

Bongo Movies

UBUYU:Baada ya Kupata Pedeshee Mpya, Wolper Kubadili Dini Tena!!

Mrembeo na mwigizaji wa filamu, Jackline Massawe Wolper, kwa mara nyingine ameripotiwa na gazeti moja la udaku kuwa kuangukia kwenye mikono ya pedeshee ambaye ndiye anayempa jeuri ya fedha kwa sasa.

Pedeshee huyo anayedaiwa kumpangishia nyumba ya kisasa mrembo huyo na kumpa jeuri ya kufanya matanuzi hapa mjini, anadaiwa kutaka kumbadili dini staa huyo ili awe muislam kwa mara ya pili.

Licha ya maisha yake kubadilika na kuwa na mkwanja mrefu, Wolper mwenyewe amekuwa akifanya siri juu ya...

 

11 years ago

Habarileo

Vijana watakiwa kubadili tabia

VIJANA wametaka kubadili tabia ili kupunguza kasi ya ongezeko la maambukizi ya Virusi vya Ukimwi. Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Kupambana na Ukimwi (TACAIDS), Dk Fatma Mrisho alitoa rai hiyo wakati wa uzinduzi wa kituo cha utoaji wa huduma za upimaji wa afya kilichopo Michungwani mkoani Tanga.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tamasha Mbeya kubadili tabia za vijana bila shuruti

SHIRIKA la Evangelical Mission SOS International kutoka Sweden kwa kushirikiana na Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Mkoa wa Mbeya (CPCT), wameamua kubadilisha tabia za vijana bila shuruti. Katika kubadilisha tabisa...

 

10 years ago

GPL

WOLPER ANAONGOZA KWA KUBADILI NAMBA ZA SIMU!

Na Mwandishi Wetu
KUNA nini kwani? Staa wa sinema za Bongo, Jacqueline Wolper anatajwa kuongoza wasanii wenzake kwa kubadili namba za simu za mkononi huku baadhi ya mashoga zake wakijiuliza kulikoni? Staa wa sinema za Bongo, Jacqueline Wolper. Kwa mujibu wa rafiki mmoja wa karibu na Wolper (jina lipo), anamshangaa sana shoga yake huyo kwani amekuwa akibadili namba za simu kwa mwaka mmoja hata mara saba. “Unajua kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani