SHEHE AMCHARUKIA WOLPER
![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6oDOD1FxYArlzcbQykvKdqwXMturi6CLcDCI8sJzaF*TWHdpkjhueqe94vn1uc6IZypNLVDTjPHxsJEZnrwBEPq/wolper.jpg)
Stori:Gladness Mallya TABIA ya staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper kubadilibadili dini mara kwa mara imeonekana kuwakera watu mbalimbali akiwemo Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum ambaye amemcharukia vikali. Staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper akipozi. Wolper kiimani ni Mkristo lakini hivi karibuni alibadili na kuwa Muislam kabla ya kurejea tena kwenye imani yake ya awali ya ukristo. Sababu...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo Movies30 Jun
SHEHE Amcharukia Jackline Wolper. Ni kutokana na tabia yake ya kubadili badili dini.
TABIA ya staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper kubadilibadili dini mara kwa mara imeonekana kuwakera watu mbalimbali akiwemo Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum ambaye amemcharukia vikali.
Wolper kiimani ni Mkristo lakini hivi karibuni alibadili na kuwa Muislam kabla ya kurejea tena kwenye imani yake ya awali ya ukristo.
Sababu ya Wolper kubadili dini ilikuwa ni kufunga ndoa na aliyekuwa mchumba wake Abdallah Mtoro ‘Dalas’, walipoachana akaamua kurudi kwenye...
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!
"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.
Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632oi16Yycw-G64CD8PUaPRtTs067oiOKFllZ-FZ7sjQKv2G0*sGqsMOVmRyHpz9gI8LTaAsQDC7RnZNZT9qx2-SB/shehe.jpg?width=650)
SHEHE AKERWA NA SWAUMU...
11 years ago
Habarileo18 Jun
Shehe wa Mkoa mahakamani
SHEHE wa Mkoa wa Tabora, Salum Shaban na waumini wengine watano wa dini ya Kiislamu, wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashitaka ya kutishia kufanya fujo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0atGmsdmURR2sUnoprzWHuguTyqzLnR3EqJXrllHufaRyNqc*UH9B8gk1ZtfscSTmhPTLCR0atX26uREOFDPIzT8JkK-1cRF/STARA.jpg?width=650)
SHEHE AMUONYA WASTARA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVIQt2b0o1bDYqDq0AzXg9BoDHbhZ59*G4ewOYi0hLfOl0-F4dHWrusD4gWEeXbgS4OPq0HxsXDTBvIZa6RU2y*J/FRONTAMANI.jpg)
SHEHE PONDA BALAA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSWpCIjID-F2O5NppnX*rD-*SuTbIBsVXibdKaq8GD2R3NpNm*J24I1P2*yZxPpazFh2keT7n-suLYZY3mb5dIburzcwXzuU/kkjkjk.jpg?width=650)
SHEHE AMUONYA SHILOLE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfDanKVaKHZU5U3D0ZdmLSEEIiTcCRvp2bIbpSWyqQs2fB7zSvQtsxVKSnZbkKD8UF9TEnwB5oPCMdqD7ZtCIO*L/shungikubwa.jpg)
SHEHE AWAVAA WEMA, DIDA!
11 years ago
Habarileo03 Apr
Kesi ya Shehe Ponda yakwama
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Morogoro leo imeshindwa kuanza kusikiliza kesi ya Katibu wa Jumuiya ya Waislamu Tanzania, Shehe Ponda Issa Ponda. Kesi hiyo haikuanza kusikilizwa, kutokana na jalada halisi kutorejeshwa kwenye mahakama hiyo kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam.