Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHEHE AKERWA NA SWAUMU...

stori: Chande Abdallah na eogratius Mongela SHEHE Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum ameonesha kukerwa kwake na mastaa wa Bongo ambao ni Waislam na wanaishi na wenza wao bila ndoa, hasa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum. Akizungumza na mwandishi wetu juzi, Shehe Alhad alisema kwa mujibu wa imani ya Dini ya Kiislam, Muislam hupaswa kufunga mwezi mtukufu kama...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kitunguu swaumu; Kinga ya saratani, malaria

>Harufu yake siku za sikukuu, umuhimu wake kwenye chakula kipendwacho na wengi Tanzania yaani pilau, umekifanya kuwa kiungo muhimu cha chakula nchini.

 

10 years ago

GPL

SWAUMU NI ZAIDI YA KUONESHA PICHA ZA USHUNGI MITANDAONI

KWENU mastaa wa kike ndani ya Bongo Movies. Nianze kwa kuwasalimia wote kwa ujumla, asalaam aleikum waungwana na poleni kwa swaumu. Binafsi niko poa, niko nanyi kiroho kuhakikisha swaumu inapanda hadi pale tutakapomaliza mfungo, ishallah Mungu awafanyie wepesi, muumalize mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani salama. Bila kuwataja majina, (najua mnajijua) nimewakumbuka leo kwa barua. Nina jambo ndugu zangu nataka kuzungumza katika...

 

11 years ago

GPL

PICHA ZA AUNT, WEMA, KADINDA ZATIBUA SWAUMU

OOHOO! Picha ambazo hazijakaa poa katika kipindi hiki cha Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani za mastaa, Aunt Ezekiel, Wema Sepetu na Martin Kadinda zimetibua swaumu za Waislamu waliofunga. Mastaa wa Bongo Muvi Aunt Ezekiel na Wema Sepetu. Picha hizo zinazoonesha ni za kipindi cha Wema cha In My Shoes kinachorushwa kupitia EATV, zinawaonesha sehemu ya juu wakiwa wazi.… ...

 

11 years ago

GPL

HUONI HAYA KUMTIBULIA SWAUMU MPENZI WAKO?

Ni matumaini yangu kwamba umzima na unaendelea vyema na mishemishe zako za kila siku kama kawaida. Kwa wale Waislam wenzangu niwape pole kwa mfungo na kuwakumbusha tu kwamba, wahakikishe swaumu zao zinakuwa timilifu kwa kujiweka mbali na yale ambayo yanaweza kuwaharibia. Mpenzi msomaji wangu, mapenzi hayana likizo hasa kwa wawili waliotokea kupendana sana. Huwezi kusema unaenda likizo kumpenda mkeo au mpenzi wako lakini kuna...

 

10 years ago

GPL

AIBU! MKE AHARIBIWA SWAUMU NDANI YA DALADALA

Niaibu iliyoje! Licha ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, njemba mmoja ambaye jina lake halikufahamika, mkazi wa Raskazoni jijini hapa amepokea kichapo ‘hevi’ baada ya kumharibia swaumu mke wa mtu ndani ya daladala, Amani  lina kisa na mkasa. Njemba huyo akipokea kichapo toka kwa abiria waliokuwemo kwenye daladala hiyo. Tukio hilo lililoshuhudiwa na ‘shushushu’ wetu na kuacha mshangao mkubwa kwa...

 

11 years ago

GPL

SHEHE AMCHARUKIA WOLPER

Stori:Gladness Mallya TABIA ya staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper kubadilibadili dini mara kwa mara imeonekana kuwakera watu mbalimbali akiwemo Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum ambaye amemcharukia vikali. Staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper akipozi. Wolper kiimani ni Mkristo lakini hivi karibuni alibadili na kuwa Muislam kabla ya kurejea tena kwenye imani yake ya awali ya ukristo. Sababu...

 

10 years ago

GPL

SHEHE AMUONYA SHILOLE

Mayasa Mariwata
Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salim, amemjia juu staa wa sinema na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed a.k.a Shilole au Shishi Baby baada ya kutangaza kuwa anasali swala tano, kauli ambayo inalenga kudhalilisha Uislam kutokana na skendo zake hasa kukaa mtupu, jambo ambalo ni kukiuka maadili ya binti wa Kiislam. Staa wa sinema na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed a.k.a Shilole au Shishi Baby. Hivi...

 

11 years ago

Habarileo

Shehe wa Mkoa mahakamani

SHEHE wa Mkoa wa Tabora, Salum Shaban na waumini wengine watano wa dini ya Kiislamu, wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashitaka ya kutishia kufanya fujo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani