SWAUMU NI ZAIDI YA KUONESHA PICHA ZA USHUNGI MITANDAONI
![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt4geUw5zdwhdro7w0kMC1g65D64OyakmKWkioqX5n3CW40x5pHbchmIWApJuXg1zFjruRTNvhOJqCyU9M0EUBD8/150000080.jpg)
KWENU mastaa wa kike ndani ya Bongo Movies. Nianze kwa kuwasalimia wote kwa ujumla, asalaam aleikum waungwana na poleni kwa swaumu. Binafsi niko poa, niko nanyi kiroho kuhakikisha swaumu inapanda hadi pale tutakapomaliza mfungo, ishallah Mungu awafanyie wepesi, muumalize mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani salama. Bila kuwataja majina, (najua mnajijua) nimewakumbuka leo kwa barua. Nina jambo ndugu zangu nataka kuzungumza katika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Picha za mitandaoni kwa “wanajeshi” wetu twende mbele zaidi
SIKU chache zilizopita kupitia vyombo vya habari takribani vyote ikiwemo mitandao ya kijamii vilitawaliwa na tukio la kufukuzwa kazi kwa askari watatu wa Jeshi la Polisi wa Kikosi cha Usalama...
10 years ago
Bongo Movies11 Dec
Eti Chuchu Hancy Wa Ray Hutupia Picha Za Mvuto Zaidi Mitandaoni!!!
Mitandao ya kijamii imekua ni sehemu muhimu sana kwa watu mashuhuri na hasa kwenye upande wa burudani ,kuwafikia mashabiki na wapenzi wao kwa wingi zaidi ambao kwakiasi kikubwa ndio wanaowafanya wang’are . Kama ilivyo kwa kila mtu huko mitandaoni, mastaa anao wana uhuru wakuweka kile anachoona kinafaa kwake na kwa mashabiki wake.
Vile vile mashabiki wao wanaweza kuwa na maoni au mawazo mbalimbali juu ya mastaa wao. Leo tumekutana na shabiki na mpenzi wa filamu za hapa TZ na vilevile ni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akTtDmgqr5dAzMNHpJcWCFgk*50VPMaC-iDMKTClqySPWoqaW5GK9lW3ZfD9rvYBsMkfUDCjVkFOaAKLFO6etpvU/kadinda.jpg)
PICHA ZA AUNT, WEMA, KADINDA ZATIBUA SWAUMU
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Tuachane na upuuzi wa picha za mitandaoni
NIMESHANGAZWA na kusikitishwa sana na habari iliyotanda kwa sasa nchini kuhusu picha za kipuuzi zinazotolewa kwenye mitandao ya kijamii. Picha hizo zimefikia hata kuliteka Bunge letu, wabunge wameharibu muda wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*D4vbk2uNmX8Ipn0j7Tmutsk4ilAM6eY5HAsCIqhQdDIvhVfMSbgAhBfhniY9l92wBsYdooyT65pQTZXSJKbPFd/iphone6.jpg)
PICHA ZA iPHONE 6 ZAVUJA MITANDAONI
5 years ago
BBCSwahili18 May
Picha kabla ya corona zasambaa mitandaoni
10 years ago
Bongo Movies04 May
Picha za Wema na Idris Zawa Gumzo Mitandaoni
Picha za Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu na mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan wakiwa kwenye Instagram party jijini Mwanza zimezua mjadala na maswali mengi kwenye mitandao ya kijamii juu ya ukaribu walionao kwa hivi sasa na picha zao wakiwa ‘batani’.
Kila mtu ana lake kuhusu picha hizi, wapo wanosema hawa ni marafiki tu, huku wengine wakisema Wema anataka kujiweka kwa Idris, wapo wanaosema Wema anafanya hivyo kumrusha roho ‘fulani’.
Lakini yote kwa yote wawili hawa ni marafiki tu , na...
9 years ago
Mtanzania15 Oct
Linnah: Mpenzi wangu hataki picha za mitandaoni
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Estelina Sanga ‘Linnah’ amefafanua kwamba haweki picha za mpenzi wake kwenye kurasa zake za mitandaoni kwa kuwa mpenzi wake huyo hataki na si kwamba wameachana.
Linnah alieleza kwamba yeye na mpenzi wake huyo raia wa Uganda, Williams Bugeme, wamekubaliana waache utaratibu huo wa kuweka picha zao kwenye mitandao ya kijamii na si kwamba wameachana kama wengi wanavyodhani,
“Bado nipo na Williams, wengi wameshangaa kwa nini siku hizi...
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Ongezeko la picha za watoto mitandaoni siyo sahihi