Linnah: Mpenzi wangu hataki picha za mitandaoni
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Estelina Sanga ‘Linnah’ amefafanua kwamba haweki picha za mpenzi wake kwenye kurasa zake za mitandaoni kwa kuwa mpenzi wake huyo hataki na si kwamba wameachana.
Linnah alieleza kwamba yeye na mpenzi wake huyo raia wa Uganda, Williams Bugeme, wamekubaliana waache utaratibu huo wa kuweka picha zao kwenye mitandao ya kijamii na si kwamba wameachana kama wengi wanavyodhani,
“Bado nipo na Williams, wengi wameshangaa kwa nini siku hizi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies06 Jun
Picha ya Wema Sepetu na ‘Mchumba’ wa Linnah Yazua Utata
Picha iliyosambaa mtandaoni ya Staa wa Bongo Movie,Wema Sepetu akiwa na aliyekuwa mchumba wa msanii wa Bongo Fleva,Linnah Sanga aitwaye Naga imezua utata baada ya mashabiki wa mwigizaji huyo kuhisi huenda amejiweka kwa mwanaume huyo baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz.
Taarifa kutoka ‘kitaani’zinasema kuwa wawili hao wameingia kwenye uhusiano wa kimapenzi ili kulipiza kisasi cha miaka kadhaa iliyopita baada ya kusemekana kuwa Linnah aliwahi...
9 years ago
Bongo513 Oct
Ben Pol aeleza kwanini hataki kuonekana na mpenzi wake kila wakati
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAYVqOUytFqr*oK9WNw6N2A*Vw*AZDXfFjpCzu22X3KhkRjMU3ECVJ4NO-43GN3KrNvMG2ysl-21ZrYtubxc-88P/kajala.jpg)
KAJALA: PERFECT SIO MPENZI WANGU
10 years ago
Vijimambo03 Feb
[Diamond]Mpenzi Wangu Mjamzito Kweli
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/Diamond_na_Zari.jpg)
Mwanamuziki maarufu nchini na sehemu nyingi za dunia – Diamond Platnumz ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwanadada Wema Sepetu ameendelea kuuhakikishia ulimwengu kuwa, mpenzi wake wa sasa ZARI al-maarufu kama “The boss lady”, ni mama mtarajiwa aliyebeba ujauzito wa msanii huyo nguli nchini na kwamba hii sio project nyingine.
Huku akitumia mafumbo kwenye maneno yake ambayo wataalamu wetu wa Kiswahili ndio wametufafanulia kisanifu zaidi, Diamond aliandika
“Kileeeeeeee kinaanza kumuharibia mtu...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Tuachane na upuuzi wa picha za mitandaoni
NIMESHANGAZWA na kusikitishwa sana na habari iliyotanda kwa sasa nchini kuhusu picha za kipuuzi zinazotolewa kwenye mitandao ya kijamii. Picha hizo zimefikia hata kuliteka Bunge letu, wabunge wameharibu muda wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*D4vbk2uNmX8Ipn0j7Tmutsk4ilAM6eY5HAsCIqhQdDIvhVfMSbgAhBfhniY9l92wBsYdooyT65pQTZXSJKbPFd/iphone6.jpg)
PICHA ZA iPHONE 6 ZAVUJA MITANDAONI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvoxp7jhEtKU*Mzne4V3ndD5ZAzRfzU6P1HGo0RgYqk9Vej7zYaN-p*Th9sf9RusK*IruvxVLuSjlzYJlmpmRpUszjhpKzAv/jux.jpg)
JUX: KWELI JACK PATRICK NI MPENZI WANGU
9 years ago
Bongo519 Oct
Wasichana wengi wanamtamani mpenzi wangu — Linah
10 years ago
Michuzi19 Apr
JUMA NATURE - NAMUOA MPENZI WANGU WA ARUSHA AS SOON AS POSSIBLE
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/S7EaNzr03Pfwr6jAPRvCUStTjGbnXoPuVC5Bk5O90Mnov-jbDlz8R_lZlzIfWzLGE_TzOTqIyZLibsrx0mxBdhWHfon1ux3dO3kgfNkJzDseDKWJpS9y_DM=s0-d-e1-ft#http://bongocelebrity.files.wordpress.com/2007/08/juma-nature-3.jpg)