[Diamond]Mpenzi Wangu Mjamzito Kweli
Mwanamuziki maarufu nchini na sehemu nyingi za dunia – Diamond Platnumz ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwanadada Wema Sepetu ameendelea kuuhakikishia ulimwengu kuwa, mpenzi wake wa sasa ZARI al-maarufu kama “The boss lady”, ni mama mtarajiwa aliyebeba ujauzito wa msanii huyo nguli nchini na kwamba hii sio project nyingine.
Huku akitumia mafumbo kwenye maneno yake ambayo wataalamu wetu wa Kiswahili ndio wametufafanulia kisanifu zaidi, Diamond aliandika
“Kileeeeeeee kinaanza kumuharibia mtu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvoxp7jhEtKU*Mzne4V3ndD5ZAzRfzU6P1HGo0RgYqk9Vej7zYaN-p*Th9sf9RusK*IruvxVLuSjlzYJlmpmRpUszjhpKzAv/jux.jpg)
JUX: KWELI JACK PATRICK NI MPENZI WANGU
10 years ago
Bongo Movies01 Apr
Lulu Awaacha Watu Njia Panda…..Je ni Kweli Mjamzito?
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewacha njia panda mashabiki na wafuasi wake kwenye mtandao wa INSTAGARM baada ya hapo jana usiku kubadika picha ya mwanamke mwenye ujauto na kuandika maneno ambayo hayaelezi wazi kuwa ni yeye.
“Happy New Month Lovies….Si ruksa kuitana wala ku munch”-Lulu aliandika.
Kitendo cha Lulu kuchimba mkwala akiwata watu wasiitane kuja kuona wala kufanya kijiwe cha kujadiliana juu ya picha hiyo (Kama inavyoonekana hapo juu) ndio kuliamsha...
10 years ago
Bongo Movies03 Feb
Mpenzi wa zamani wa Wema Sepetu athibitisha kuwa ZARI ni mjamzito
Mwanamuziki maarufu nchini na sehemu nyingi za dunia – Diamond Platnumz ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwanadada Wema Sepetu ameendelea kuuhakikishia ulimwengu kuwa, mpenzi wake wa sasa ZARI al-maarufu kama “The boss lady”, ni mama mtarajiwa aliyebeba ujauzito wa msanii huyo nguli nchini na kwamba hii sio project nyingine.
Huku akitumia mafumbo kwenye maneno yake ambayo wataalamu wetu wa Kiswahili ndio wametufafanulia kisanifu zaidi, Diamond aliandika
“Kileeeeeeee kinaanza kumuharibia mtu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAYVqOUytFqr*oK9WNw6N2A*Vw*AZDXfFjpCzu22X3KhkRjMU3ECVJ4NO-43GN3KrNvMG2ysl-21ZrYtubxc-88P/kajala.jpg)
KAJALA: PERFECT SIO MPENZI WANGU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*CDy9YhLF-LRpaUmemYogw3ip3dmGnT7nlHHq7sLyVf2PbqNoXcIvB-MFd5GlV394b27v2Tjl*2AC9ebU6wG80Q/shilole.jpg?width=650)
SHILOLE: MPENZI WANGU NDIYE ANAYENITIBU VIZURI
9 years ago
Bongo519 Oct
Wasichana wengi wanamtamani mpenzi wangu — Linah
10 years ago
Michuzi19 Apr
JUMA NATURE - NAMUOA MPENZI WANGU WA ARUSHA AS SOON AS POSSIBLE
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/S7EaNzr03Pfwr6jAPRvCUStTjGbnXoPuVC5Bk5O90Mnov-jbDlz8R_lZlzIfWzLGE_TzOTqIyZLibsrx0mxBdhWHfon1ux3dO3kgfNkJzDseDKWJpS9y_DM=s0-d-e1-ft#http://bongocelebrity.files.wordpress.com/2007/08/juma-nature-3.jpg)
9 years ago
Mtanzania15 Oct
Linnah: Mpenzi wangu hataki picha za mitandaoni
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Estelina Sanga ‘Linnah’ amefafanua kwamba haweki picha za mpenzi wake kwenye kurasa zake za mitandaoni kwa kuwa mpenzi wake huyo hataki na si kwamba wameachana.
Linnah alieleza kwamba yeye na mpenzi wake huyo raia wa Uganda, Williams Bugeme, wamekubaliana waache utaratibu huo wa kuweka picha zao kwenye mitandao ya kijamii na si kwamba wameachana kama wengi wanavyodhani,
“Bado nipo na Williams, wengi wameshangaa kwa nini siku hizi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6ZBoDYTzJR*zSls3KsMqAzN9B96KhNSIm4s3hgytLkbywntnHDII5fJUn3qG*GohgF2uUPgaSap3oMSHo5nJJaY/JOHARI.jpg?width=650)
BABY MADAHA: SIJAMPA PENZI MPENZI WANGU