SHILOLE: MPENZI WANGU NDIYE ANAYENITIBU VIZURI
![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*CDy9YhLF-LRpaUmemYogw3ip3dmGnT7nlHHq7sLyVf2PbqNoXcIvB-MFd5GlV394b27v2Tjl*2AC9ebU6wG80Q/shilole.jpg?width=650)
Na Imelda Mtema STAA wa Mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefungua kinywa chake na kusema mpenzi wake wa sasa, Nuh Mziwanda ndiye anayemtibu vizuri kunako ‘sita kwa sita’ japokuwa watu wengi wamekuwa wakiudharau mwili wake. Staa wa Mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Akizungumza na gazeti hili bila kung’ata maneno, Shilole alisema wengi wanashindwa kujua kwamba mtu anaweza kuwa na...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo504 Jan
Sitochora tena tattoo ya jina la mpenzi wangu – Shilole
![shilole-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/shilole-2-300x194.jpg)
Shilole ameapa kutorudia tena kuchora tattoo yenye jina la mpenzi wake.
Hivi karibuni muimbaji huyo alilazimika kuifuta tattoo ya jina la aliyekuwa mpenzi wake, Nuh Mziwanda.
Shilole amesema kujichora tattoo ya jila Nuh kumemharibia issue kibao.
“Tattoo hapa ni empty,” aliambia 255 katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Jumatatu hii.
“SiwezI tena kuchora tattoo kwaajili ya mapenzi. Nimeamua kama tutapendana tutapenda rohoni kwa sababu nishaona hakuna sababu ya kuchora tattoo. Unaweza...
9 years ago
Bongo529 Dec
Mama wa Mtoto wangu wa nne ndiye atakuja kuwa mke wangu – Nay Wa Mitego
![Chagga-na-Nay](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Chagga-na-Nay-300x194.jpg)
Nay Wa Mitego ni staa ambaye miezi michache iliyopita alikuwa hakosekani kwenye ‘headlines’ kutokana na uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa Bongo movie, Shamsa Ford uliokuwa ukifatiliwa sana na mashabiki wao.
Uhusiano wa Nay na Shamsa ambao kwa mujibu wa Nay ulidumu kwa takribani miezi mitano, ulizaliwa muda mfupi baada ya Nay kuachana na mama wa mtoto wake wa tatu Curtis, Siwema ambaye baada ya kujifungua mtoto huyo waliachana na Nay kumchukua mwanaye.
Chagga Barbie na Nay Wa Mitego
Siku...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LB6l9Yyl8LBlPPWGd3-kBxycGVCAqdilsBlSEqBuDikaoO-i*pH89Khb-aNQE3L32Zd6*hdmzPAkbmCo5zGnkSy-14exQBwb/Shabbb.jpg?width=650)
SHABIBY: NAYAJUA VIZURI MATATIZO YA WANANCHI WANGU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1D30FS3uSctmlHjp4vARAaZy7TCeHNrPJHDlMdKOevy85rGulzKyRRb6hvyNHAHU0z7Bx6jjbIOk8hV*BUJVrePExLm6sq32/diamond....jpg)
DIAMOND: PENNY NDIYE MWALIMU WANGU WA KIINGEREZA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70uSLcd3j62S*PQ6ovUJUUGanPFwbCDgFTri9a*sNRio5nkJ9OsPGHFBpxDLwn2VPdt2S7cCnpc6IecIsMtPFUaj/OmotolaJalade37thbirthday.jpg?width=650)
NI MUME WANGU TU NDIYE ANAYEWEZA KUNIDHIBITI - OMOTOLA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAYVqOUytFqr*oK9WNw6N2A*Vw*AZDXfFjpCzu22X3KhkRjMU3ECVJ4NO-43GN3KrNvMG2ysl-21ZrYtubxc-88P/kajala.jpg)
KAJALA: PERFECT SIO MPENZI WANGU
10 years ago
Vijimambo03 Feb
[Diamond]Mpenzi Wangu Mjamzito Kweli
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/Diamond_na_Zari.jpg)
Mwanamuziki maarufu nchini na sehemu nyingi za dunia – Diamond Platnumz ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwanadada Wema Sepetu ameendelea kuuhakikishia ulimwengu kuwa, mpenzi wake wa sasa ZARI al-maarufu kama “The boss lady”, ni mama mtarajiwa aliyebeba ujauzito wa msanii huyo nguli nchini na kwamba hii sio project nyingine.
Huku akitumia mafumbo kwenye maneno yake ambayo wataalamu wetu wa Kiswahili ndio wametufafanulia kisanifu zaidi, Diamond aliandika
“Kileeeeeeee kinaanza kumuharibia mtu...
10 years ago
Bongo523 Oct
Picha: Mrembo huyu wa kizungu ndiye mpenzi wa Adam Nditi!
9 years ago
Mtanzania15 Oct
Linnah: Mpenzi wangu hataki picha za mitandaoni
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Estelina Sanga ‘Linnah’ amefafanua kwamba haweki picha za mpenzi wake kwenye kurasa zake za mitandaoni kwa kuwa mpenzi wake huyo hataki na si kwamba wameachana.
Linnah alieleza kwamba yeye na mpenzi wake huyo raia wa Uganda, Williams Bugeme, wamekubaliana waache utaratibu huo wa kuweka picha zao kwenye mitandao ya kijamii na si kwamba wameachana kama wengi wanavyodhani,
“Bado nipo na Williams, wengi wameshangaa kwa nini siku hizi...