Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND: PENNY NDIYE MWALIMU WANGU WA KIINGEREZA

Stori: Musa Mateja WAKATI kila mtu akiamini mwalimu wake wa lugha ya Kiingereza ni Wema Sepetu ‘Madam’ staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameibuka na kudai aliyemfundisha lugha hiyo ni aliyekuwa mpenzi wake, Peniel Mungilwa‘Diamond aliwataka watu wote waliokuwa wakiamini Wema ndiye mwalimu wake wa ung’eng’e wafute imani hiyo kwani Penny ndiye mpango mzima. Staa wa Bongo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Diamond alitaja tukio lililomsababisha amtafute mwalimu wa Kiingereza

Miaka kadhaa iliyopita, Diamond Platnumz alijikuta kwenye mtihani mgumu baada ya kubaini kuwa hakutakiwa tu kutumbuiza kwenye jukwaa la kimataifa, bali pia alitakiwa kuzungumza kwa dakika kadhaa mbele ya live television Afrika nzima! Kuongea hakikuwa kitu kigumu kwa muimbaji huyo wa Nana, bali lugha aliyotakiwa kutumia – Kiingereza, ilikuwa inampita kushoto wakati huo. “Wakati naanza […]

 

9 years ago

Bongo5

Mama wa Mtoto wangu wa nne ndiye atakuja kuwa mke wangu – Nay Wa Mitego

Chagga-na-Nay

Nay Wa Mitego ni staa ambaye miezi michache iliyopita alikuwa hakosekani kwenye ‘headlines’ kutokana na uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa Bongo movie, Shamsa Ford uliokuwa ukifatiliwa sana na mashabiki wao.

nay-na-shamsha

Uhusiano wa Nay na Shamsa ambao kwa mujibu wa Nay ulidumu kwa takribani miezi mitano, ulizaliwa muda mfupi baada ya Nay kuachana na mama wa mtoto wake wa tatu Curtis, Siwema ambaye baada ya kujifungua mtoto huyo waliachana na Nay kumchukua mwanaye.

Chagga-na-Nay
Chagga Barbie na Nay Wa Mitego

Siku...

 

10 years ago

GPL

PENNY: MITANDAO ILITAKA KUNITOA UHAI WANGU

Ndani ya safu hii leo tunakutana na Mtangazaji Penniel Mungilwa ‘Penny’ ambaye yuko kimya katika masuala ya utangazaji tangu alipoamua kuondoka Radio E FM. Mtangazaji Penniel Mungilwa ‘Penny’. Msikilize Penny alipobanwa kwa maswali kumi na Mwandishi Wetu Imelda Mtema.
Ijumaa: Upo kimya sana shosti, ni nini unachofanya kwa sasa?
Penny: Sasa hivi mimi ni mbunifu wa mpangilio wa nyumba na ofisi ambapo...

 

10 years ago

GPL

SHILOLE: MPENZI WANGU NDIYE ANAYENITIBU VIZURI

Na Imelda Mtema
STAA wa Mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefungua kinywa chake na kusema mpenzi wake wa sasa, Nuh Mziwanda ndiye anayemtibu vizuri kunako ‘sita kwa sita’ japokuwa watu wengi wamekuwa wakiudharau mwili wake. Staa wa Mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Akizungumza na gazeti hili bila kung’ata maneno, Shilole alisema wengi wanashindwa kujua kwamba mtu anaweza kuwa na...

 

10 years ago

GPL

NI MUME WANGU TU NDIYE ANAYEWEZA KUNIDHIBITI - OMOTOLA

Nyota wa filamu wa Nigeria, Omotola Jalade.
Omotola Jalade , nyota wa filamu wa Nigeria ambaye amefikisha miaka 20 katika tasnia hiyo na kuwa alama ya fahari ya tasnia ya filamu ya Nollywood ya Nigeria, ametoa ya moyoni kuhusu kinachomfanya asitetereke kwenye ndoa yake ambayo imempatia watoto wanne. Omotola Jalade akiwa na mumewe Mattew Ekeinde.
Kipenzi huyo cha mamilioni ya wapenda filamu… ...

 

9 years ago

Mwananchi

Huyu ndiye Mwalimu Kassim Majaliwa

Aliyekuwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tamissemi (Elimu), Kassim Majaliwa ndiye Waziri Mkuu mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ataapishwa leo mjini Dodoma kuwa Waziri Mkuu wa 11 wa Tanzania tangu uhuru.

 

11 years ago

GPL

DIAMOND,PENNY WAMWAGANA!

Stori: shakoor jongo na mayasa mariwata
NDIYO habari ya ‘mujini’ kwa sasa, kwamba staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond Platnumz’ na mwandani wake, mtangazaji wa kituo cha runinga cha DTV, Penniel Mungilwa ‘Penny’ wamemwagana, Risasi Jumamosi limemwagiwa upupu.
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani