Mama wa Mtoto wangu wa nne ndiye atakuja kuwa mke wangu – Nay Wa Mitego
Nay Wa Mitego ni staa ambaye miezi michache iliyopita alikuwa hakosekani kwenye ‘headlines’ kutokana na uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa Bongo movie, Shamsa Ford uliokuwa ukifatiliwa sana na mashabiki wao.
Uhusiano wa Nay na Shamsa ambao kwa mujibu wa Nay ulidumu kwa takribani miezi mitano, ulizaliwa muda mfupi baada ya Nay kuachana na mama wa mtoto wake wa tatu Curtis, Siwema ambaye baada ya kujifungua mtoto huyo waliachana na Nay kumchukua mwanaye.
Chagga Barbie na Nay Wa Mitego
Siku...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo516 Jan
Mabeste: Huu ndo ukweli wa kuugua kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!
10 years ago
CloudsFM12 Nov
NAY WA MITEGO: SITAKI WATOTO WANGU WAFANYE MUZIKI
Staa wa Bongo Flava ambaye ana tuzo ya wimbo bora wa Hip hop, Nay Wa Mitego amefunguka kuwa hataki watoto wake wawe wanamuziki kama yeye. ‘’Mimi ni mwanamuziki na nimepata mafanikio kupitia kazi hii lakini sitaki watoto wangu wawe wanamuziki’’,alisema Nay Wa Mitego.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIlkFoOtGIWi2WTrC-EbDaDZYf*VnfC038oJEfTUjJ4xVMbqPr7bAhphV222lSS034ADfWSENkyYLtK79hQri4oY/wananitesa.jpg)
MAMA: WACHAWI WANANITESA, WATOTO WANGU 8, MUME WANGU WAMEKUFA KWA UGONJWA WA AJABU
10 years ago
Bongo511 Nov
Amini: Nataka mke wangu ajifungue mtoto wa kiume ili awe mwanasheria
9 years ago
Bongo519 Nov
Chagga Barbie ndiye ameziba nafasi ya Shamsa Ford kwa Nay Wa Mitego? Nay azungumza
![Chagga na Nay](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Chagga-na-Nay-300x194.jpg)
Jimbo la mapenzi la Nay Wa Mitego liko wazi toka aachane na aliyekuwa cousin mpenzi wake Shamsa Ford, lakini swali ni kwamba ni mrembo gani aliyerithi nafasi hiyo iliyoachwa wazi na Shamsa ambayo huenda kuna warembo wengi wanaitamani?
Kama unamfatilia Nay Wa Mitego kwenye akunti yake ya Instagram sina shaka utakuwa umeanza kuona dalili za kuwa kuna mpenzi mpya ‘mteule’ anayesubiri ‘kuapishwa’ na kuwa rasmi.
Chagga Barbie sio jina geni, ndio yule aliyezitawala headlines nyingi alipokuwa...
9 years ago
Bongo514 Nov
Ronaldo: Sitomtaja kamwe mama wa mtoto wangu
![ronaldo31](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/ronaldo31-300x194.jpg)
Nyota wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amesema kamwe hatokuja kumtaja mama wa mtoto wake wa kiume.
Mchezaji huyo aliyeachana na mpenzi wake mwanamitindo, Irina Shayk anaonekana kufurahia maisha yake binafsi zaidi akiwa na familia yake.
Akiongea kwenye talk show ya Jonathan Ross, mchezaji huyo ameahidi kutoweka wazi sura ya mama wa mtoto wake pamoja na shinikizo la jamii.
Pia Ronaldo, 30 amesema hatakaa arudi tena Manchester United kwakuwa United ya kipindi kile sio kama ya sasa.
Jiunge na...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/HaL1y-yXQAA/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UZ8UQ2FXhhMpfFA9J0M-1AxiXXEscrpUm*Fg-G2CVHLZ8yEtWDu0NwHUHLFGbQhgyZsB6VKKNLgCHWzys-2DVPk70m2cFESS/skain.jpg?width=650)
KUMBE NAY WA MITEGO NDIYE ALIYEUNJA NDOA YA SKAINA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq9Vz5NTzt6ePzcjJ*eIjh0cMHhynpt7BsFNL7bvuA-ChthI4Gmn5M14usFdaa6Y70G87MlBqnKAButNmS1PTMCb/21.jpg?width=650)
NAY WA MITEGO, SHAMSA MKE NA MUME!