Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jikune na hii na ujikumbushe pande zile Safari Sound Band - Mama lea mtoto wangu (Chakacha)

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mama wa Mtoto wangu wa nne ndiye atakuja kuwa mke wangu – Nay Wa Mitego

Chagga-na-Nay

Nay Wa Mitego ni staa ambaye miezi michache iliyopita alikuwa hakosekani kwenye ‘headlines’ kutokana na uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa Bongo movie, Shamsa Ford uliokuwa ukifatiliwa sana na mashabiki wao.

nay-na-shamsha

Uhusiano wa Nay na Shamsa ambao kwa mujibu wa Nay ulidumu kwa takribani miezi mitano, ulizaliwa muda mfupi baada ya Nay kuachana na mama wa mtoto wake wa tatu Curtis, Siwema ambaye baada ya kujifungua mtoto huyo waliachana na Nay kumchukua mwanaye.

Chagga-na-Nay
Chagga Barbie na Nay Wa Mitego

Siku...

 

9 years ago

Bongo5

Ronaldo: Sitomtaja kamwe mama wa mtoto wangu

ronaldo31

Nyota wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amesema kamwe hatokuja kumtaja mama wa mtoto wake wa kiume.

ronaldo31

Mchezaji huyo aliyeachana na mpenzi wake mwanamitindo, Irina Shayk anaonekana kufurahia maisha yake binafsi zaidi akiwa na familia yake.

Akiongea kwenye talk show ya Jonathan Ross, mchezaji huyo ameahidi kutoweka wazi sura ya mama wa mtoto wake pamoja na shinikizo la jamii.

2E5F1C6500000578-3316210-image-m-194_1447368950898

Pia Ronaldo, 30 amesema hatakaa arudi tena Manchester United kwakuwa United ya kipindi kile sio kama ya sasa.

Jiunge na...

 

10 years ago

Vijimambo

Gusa Gusa Min band ndani ya Usiku wa Old is Gold Safari Carnival Jumapili hii

NA ANDREW CHALE
BENDI ya taarab ya 'Gusa Gusa Min Band,' inatarajiwa kurindima tena Jumapili hii katika usiku wa Old is Gold Taarab , ndani ya ukumbi wa Safari Carnival, uliopo Mikochezni B, jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa waandaji wa usiku huo, Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, kila Jumapili bendi hiyo ya Gusa Gusa imekuwa ikitoa burudani ya kipekee kwa nyimbo za taarab zikiwemo za zamani na zile za kisasa huku ikikusanya mashabiki lukuki.

Aidha, alisema muimbaji...

 

11 years ago

GPL

MAMA: WACHAWI WANANITESA, WATOTO WANGU 8, MUME WANGU WAMEKUFA KWA UGONJWA WA AJABU

STORI: MAKONGORO OGING’
Regina Kihosa (62), mkazi wa Kosolameba mkoani Kigoma amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kufuatia gonjwa la ajabu lililompata huku akidai kwamba limetokana na wachawi ambao wanausumbua mji wake. Regina Kihosa akiteseka kwa gonjwa la ajabu. KWANZA AMEPOTEZA WATOTO WANANE
Mama huyo amelazwa katika hospitali hiyo jengo la Sewahaji,wodi namba 24 akiendelea na matibabu na ana mawazo mengi...

 

9 years ago

MillardAyo

Pichaz 10 kilivyohappen pande za Geita katika Show ya Yamoto Band, usiku wa Chrismass Dec 25 2015 …

Sikukuu  ya Chrismass ni moja kati ya sikukuu zenye mvuto duniani kote, imekuwa kawaida kwa vijana na watu wa rika tofauti tofauti kusherehekea kwa namna yao ya kipekee. Yamoto Band wakali wa hit single kadhaa ikiwemo kama Cheza kwa Madoido wameachia single yao mpya Mama, ambayo inafanya vizuri kama nyimbo zao nyingine, waliamua kuanzia Geita […]

The post Pichaz 10 kilivyohappen pande za Geita katika Show ya Yamoto Band, usiku wa Chrismass Dec 25 2015 … appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani