Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EXCLUSIVE INTERVIEW YA DIAMOND PLATNUMZ NA GLOBAL TV ONLINE AMTAJA MWALIMU WAKE WA KIINGEREZA NINANI

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ NDANI YA GLOBAL TV ONLINE

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa katika pozi ndani ya studio za Global TV Online. Diamond akiweka vizuri kiatu chake kabla ya kuanza mahojiano na Global TV Online hivi punde.…

 

10 years ago

GPL

EXCLUSIVE INTERVIEW: LA VEDA ATINGA GLOBAL, APANGUA SKENDO YA KUJICHUA

La Veda akiwa na Saxaphone yake wakati akifanyiwa Exclusive Interview kwenye studio za Global TV Online leo. KWA mara ya kwanza baada ya kukaa kimya kwa muda tangu atoke katika shindano la Big Brother Africa 'BBA', mshiriki aliyekuwa akiiwakilisha Tanzania katika Jumba la Big Brother Africa 2014, Irene Neema Vedastous 'La Veda' hivi punde amefanya Exclusive Interview na Global TV Online ambapo amefunguka mambo kibao ikiwemo...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND: PENNY NDIYE MWALIMU WANGU WA KIINGEREZA

Stori: Musa Mateja WAKATI kila mtu akiamini mwalimu wake wa lugha ya Kiingereza ni Wema Sepetu ‘Madam’ staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameibuka na kudai aliyemfundisha lugha hiyo ni aliyekuwa mpenzi wake, Peniel Mungilwa‘Diamond aliwataka watu wote waliokuwa wakiamini Wema ndiye mwalimu wake wa ung’eng’e wafute imani hiyo kwani Penny ndiye mpango mzima. Staa wa Bongo...

 

9 years ago

Mtanzania

Diamond Platnumz: Bila Kiingereza huwezi kuwa wa kimataifa

diamondNA CHRISTOPHER MSEKENA

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, amesema kuwa lugha ya Kiingereza ni lazima kwa msanii anayetaka kuwa wa kimataifa.
Diamond alipokuwa kwenye mahafali ya darasa la saba Shule ya Rightway, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, alisema
lugha hiyo ilimpa hofu wakati alipokuwa akitaka kufikia soko la kimataifa.

“Mwaka jana nilipata mwaliko wa kutumbuiza kwenye jumba la Big Brother, Babu Tale, akaniambia baada ya onyesho nitafanyiwa...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ZARI WAFANYIWA EXCLUSIVE INTERVIEW CLOUDS TV/RADIO

Diamond na mpenzi wake Zari katika Exclusive One on One Interview ya Power Breakfast ya Clouds FM na 360 ya Clouds TV. Diamond akimuweka sawa mpenzi wake. Mtangazani mwenye jina kubwa wa Radio Clouds FM, Gerald Hando 'Mzee Mnoko' (kushoto) na Edson Kamoga wa 360 ya Clouds TV (kulia) wakiendelea kufanyia…

 

9 years ago

Bongo5

Video: Diamond alitaja tukio lililomsababisha amtafute mwalimu wa Kiingereza

Miaka kadhaa iliyopita, Diamond Platnumz alijikuta kwenye mtihani mgumu baada ya kubaini kuwa hakutakiwa tu kutumbuiza kwenye jukwaa la kimataifa, bali pia alitakiwa kuzungumza kwa dakika kadhaa mbele ya live television Afrika nzima! Kuongea hakikuwa kitu kigumu kwa muimbaji huyo wa Nana, bali lugha aliyotakiwa kutumia – Kiingereza, ilikuwa inampita kushoto wakati huo. “Wakati naanza […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani