Tuachane na upuuzi wa picha za mitandaoni
NIMESHANGAZWA na kusikitishwa sana na habari iliyotanda kwa sasa nchini kuhusu picha za kipuuzi zinazotolewa kwenye mitandao ya kijamii. Picha hizo zimefikia hata kuliteka Bunge letu, wabunge wameharibu muda wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*D4vbk2uNmX8Ipn0j7Tmutsk4ilAM6eY5HAsCIqhQdDIvhVfMSbgAhBfhniY9l92wBsYdooyT65pQTZXSJKbPFd/iphone6.jpg)
PICHA ZA iPHONE 6 ZAVUJA MITANDAONI
5 years ago
BBCSwahili18 May
Picha kabla ya corona zasambaa mitandaoni
10 years ago
Bongo Movies04 May
Picha za Wema na Idris Zawa Gumzo Mitandaoni
Picha za Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu na mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan wakiwa kwenye Instagram party jijini Mwanza zimezua mjadala na maswali mengi kwenye mitandao ya kijamii juu ya ukaribu walionao kwa hivi sasa na picha zao wakiwa ‘batani’.
Kila mtu ana lake kuhusu picha hizi, wapo wanosema hawa ni marafiki tu, huku wengine wakisema Wema anataka kujiweka kwa Idris, wapo wanaosema Wema anafanya hivyo kumrusha roho ‘fulani’.
Lakini yote kwa yote wawili hawa ni marafiki tu , na...
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Ongezeko la picha za watoto mitandaoni siyo sahihi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt4geUw5zdwhdro7w0kMC1g65D64OyakmKWkioqX5n3CW40x5pHbchmIWApJuXg1zFjruRTNvhOJqCyU9M0EUBD8/150000080.jpg)
SWAUMU NI ZAIDI YA KUONESHA PICHA ZA USHUNGI MITANDAONI
9 years ago
Mtanzania15 Oct
Linnah: Mpenzi wangu hataki picha za mitandaoni
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Estelina Sanga ‘Linnah’ amefafanua kwamba haweki picha za mpenzi wake kwenye kurasa zake za mitandaoni kwa kuwa mpenzi wake huyo hataki na si kwamba wameachana.
Linnah alieleza kwamba yeye na mpenzi wake huyo raia wa Uganda, Williams Bugeme, wamekubaliana waache utaratibu huo wa kuweka picha zao kwenye mitandao ya kijamii na si kwamba wameachana kama wengi wanavyodhani,
“Bado nipo na Williams, wengi wameshangaa kwa nini siku hizi...
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Picha za mitandaoni kwa “wanajeshi” wetu twende mbele zaidi
SIKU chache zilizopita kupitia vyombo vya habari takribani vyote ikiwemo mitandao ya kijamii vilitawaliwa na tukio la kufukuzwa kazi kwa askari watatu wa Jeshi la Polisi wa Kikosi cha Usalama...
11 years ago
CloudsFM10 Jun
SAKATA LA KUSAMBAA KWA PICHA ZA NGONO MITANDAONI LAIBUKA BUNGENI
SIKU chache baada ya kusambazwa picha za ngono zikiwahusisha baadhi ya wabunge katika mitandao ya kijamii, serikali imesema inawasaka waliozisambaza kwa kuwa ina uwezo wa kuwabaini.
Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa, alitoa kauli hiyo jana bungeni baada ya Spika Anne Makinda, kumtaka azungumzie picha chafu za baadhi ya wabunge zilizotolewa na kusambazwa kwenye mitandao.
Waziri Mbarawa, alisema serikali inafuatilia na kuchunguza waliosambaza picha hizo...