Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha za mitandaoni kwa “wanajeshi” wetu twende mbele zaidi

SIKU chache zilizopita kupitia vyombo vya habari takribani vyote ikiwemo mitandao ya kijamii vilitawaliwa na tukio la kufukuzwa kazi kwa askari watatu wa Jeshi la Polisi wa Kikosi cha Usalama...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SWAUMU NI ZAIDI YA KUONESHA PICHA ZA USHUNGI MITANDAONI

KWENU mastaa wa kike ndani ya Bongo Movies. Nianze kwa kuwasalimia wote kwa ujumla, asalaam aleikum waungwana na poleni kwa swaumu. Binafsi niko poa, niko nanyi kiroho kuhakikisha swaumu inapanda hadi pale tutakapomaliza mfungo, ishallah Mungu awafanyie wepesi, muumalize mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani salama. Bila kuwataja majina, (najua mnajijua) nimewakumbuka leo kwa barua. Nina jambo ndugu zangu nataka kuzungumza katika...

 

10 years ago

Bongo Movies

Eti Chuchu Hancy Wa Ray Hutupia Picha Za Mvuto Zaidi Mitandaoni!!!

Mitandao ya kijamii  imekua  ni sehemu muhimu sana kwa watu mashuhuri na hasa kwenye upande wa  burudani ,kuwafikia mashabiki na wapenzi wao kwa wingi zaidi ambao kwakiasi kikubwa ndio wanaowafanya wang’are . Kama ilivyo kwa kila mtu huko mitandaoni, mastaa anao wana  uhuru wakuweka kile anachoona kinafaa kwake na kwa mashabiki wake.

Vile vile mashabiki wao wanaweza kuwa na maoni au mawazo mbalimbali juu ya mastaa wao. Leo tumekutana na shabiki  na mpenzi wa filamu za hapa TZ na vilevile ni...

 

11 years ago

CloudsFM

SAKATA LA KUSAMBAA KWA PICHA ZA NGONO MITANDAONI LAIBUKA BUNGENI

SIKU chache baada ya kusambazwa picha za ngono zikiwahusisha baadhi ya wabunge katika mitandao ya kijamii, serikali imesema inawasaka waliozisambaza kwa kuwa ina uwezo wa kuwabaini.
Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa, alitoa kauli hiyo jana bungeni baada ya Spika Anne Makinda, kumtaka azungumzie picha chafu za baadhi ya wabunge zilizotolewa na kusambazwa kwenye mitandao.

Waziri Mbarawa, alisema serikali inafuatilia na kuchunguza waliosambaza picha hizo...

 

10 years ago

Mwananchi

Wito kwa mabloga kuzingatia maadili kuheshimu picha za marehemu mitandaoni

Raha ya kipindi tunachoishi sasa ni wepesi wa mawasiliano. Mawasiliano ya haraka kwa simu za mkononi, habari kusambaa, mitandao kutupasha yaliyotokea, ghafla bin vuu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Israel:Wanajeshi wetu hawaendi ICC

Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema kuwa hatakubali wanajeshi wake kuwasilishwa mbele ya mahakama ya ICC.

 

5 years ago

Michuzi

Zaidi ya wanajeshi elfu moja (1000) wa Israel wawekwa chini ya karantini kwa corona

 Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limetangaza kuwa, wanajeshi 1040 wa utawala huo ghasibu wamewekwa chini ya karantini kutokana na virusi vya corona.

Televisheni ya al Alam imenukuu taarifa iliyotolewa na Aviv Kochavi, mkuu wa majeshi ya Israel akisema kuwa, utawala huo umechukua hatua hiyo ili kupunguza idadi ya wanajeshi wake waliokumbwa na virusi hatari vya corona.

Siku ya Ijumaa pia utawala wa Kizayuni ulitangaza kuwa, mwanajeshi yeyote wa utwaala huo hana ruhusa ya kuondoka kwenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuachane na upuuzi wa picha za mitandaoni

NIMESHANGAZWA na kusikitishwa sana na habari iliyotanda kwa sasa nchini kuhusu picha za kipuuzi zinazotolewa kwenye mitandao ya kijamii. Picha hizo zimefikia hata kuliteka Bunge letu, wabunge wameharibu muda wa...

 

10 years ago

GPL

PICHA ZA iPHONE 6 ZAVUJA MITANDAONI

Muonekano wa iPhone 6 itakapokuwa kwenye Apple Stores.  Ukubwa wa iPhone 6 utakavyokuwa.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani