Israel:Wanajeshi wetu hawaendi ICC
Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema kuwa hatakubali wanajeshi wake kuwasilishwa mbele ya mahakama ya ICC.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Wanajeshi wa Israel waondoka Gaza
Serikali ya Israel imetangaza kuondoa wanajeshi wake wote katika maeneo wanakotekelezea mashambulizi nje ya ukanda wa Gaza.
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
Marekani yalaani ICC kuhusu Israel
Marekani imelaani hatua ya mahakama ya kimaitaifa ya uhalifu wa kivita ICC kuanzisha uchunguzi dhidi ya Israel
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Hamas yafanikiwa kudukua simu za wanajeshi wa Israel kupitia 'vipusa'
Wapiganaji wa Hamas walidukua simu aina ya smartphone za wanajeshi wa Israel kwa kujifanya wanawake , limesewma jeshi la Israel.
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Picha za mitandaoni kwa “wanajeshi” wetu twende mbele zaidi
SIKU chache zilizopita kupitia vyombo vya habari takribani vyote ikiwemo mitandao ya kijamii vilitawaliwa na tukio la kufukuzwa kazi kwa askari watatu wa Jeshi la Polisi wa Kikosi cha Usalama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1x_xczr4nrU/XmYMMD3zMFI/AAAAAAALiLU/h2_GqmgK-rwB99UCDuPSE2wW6F54LQw-QCLcBGAsYHQ/s72-c/4bk901ca36e9deexrp_800C450.jpg)
Zaidi ya wanajeshi elfu moja (1000) wa Israel wawekwa chini ya karantini kwa corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-1x_xczr4nrU/XmYMMD3zMFI/AAAAAAALiLU/h2_GqmgK-rwB99UCDuPSE2wW6F54LQw-QCLcBGAsYHQ/s640/4bk901ca36e9deexrp_800C450.jpg)
Televisheni ya al Alam imenukuu taarifa iliyotolewa na Aviv Kochavi, mkuu wa majeshi ya Israel akisema kuwa, utawala huo umechukua hatua hiyo ili kupunguza idadi ya wanajeshi wake waliokumbwa na virusi hatari vya corona.
Siku ya Ijumaa pia utawala wa Kizayuni ulitangaza kuwa, mwanajeshi yeyote wa utwaala huo hana ruhusa ya kuondoka kwenye...
5 years ago
BBCSwahili09 Mar
Zaidi ya wasichana milioni 130 hawaendi shule
Bi Julia Gillard anasema kuwa kuwekeza elimu ndio ufunguo wa kupunguza umasikini duniani.
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
ICC:''Yebei aliwahonga mashahidi ICC''
Mahakama ya ICC inadai kuwa shahidi aliyeuawa aliwahonga mashahidi wengine. Na Emmanul Igunza
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania