Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi wa Israel waondoka Gaza

Serikali ya Israel imetangaza kuondoa wanajeshi wake wote katika maeneo wanakotekelezea mashambulizi nje ya ukanda wa Gaza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Chad waondoka CAR

Chad imeamua kuondoa wanajeshi wake kutoka katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati ikisema kuwa wanatuhumiwa kwa kuchochea hali nchini humo

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yazidi kuishambulia Gaza

Wapalestina zaidi ya 200 wauawa katika mashambulio zaidi ya Israel dhidi ya Gaza,mapendekezo ya kusitisha mapigano yakitibuka

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yaanza kushambulia Gaza

Israel imeanza kufanya mashambulizi ya angani dhidi ya Gaza baada ya siku tatu ya makubaliano ya kusitisha vita ukanda wa Gaza

 

11 years ago

BBCSwahili

Gaza:Mwanajeshi wa Israel aliuawa

Jeshi la Israel limesema kuwa mmoja wa wanajeshi wake ambaye aliaminika kutekwa na wapiganaji wa kipalestina ameuawa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yaendeleza mashambulizi Gaza

Wapalestina 9 wameuawa na Israel wakitizama mchuano wa kombe la Dunia, ndani ya mgahawa mmoja katika mji wa Khan Yunis huko Gaza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel kuendeleza mshambulizi yake Gaza

Israel imesema kuwa itaendeleza mashambulizi yake Gaza hadi pale kundi la wapiganaji wa Hamas litakapositisha kurusha makombora

 

11 years ago

BBCSwahili

GAZA:Israel yaendeleza mashambulizi yake

Umoja wa mataifa katika eneo la Gaza unasema kuwa idadi ya raia wa Palestina walioachwa bila makao imefikia elfu arobaini

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la ardhini la Israel laingia Gaza

Israel imeingia Gaza kwa operesheni ya ardhini,huku ikishambulia pia angani na majini,watu 247 wamefariki na wengi kujeruhiwa

 

11 years ago

Mwananchi

CUF yalaani Israel kuishambulia Gaza

Chama cha Wananchi (CUF) kimelaani mashambulizi ya kivita yanayoendelea kufanywa na Israeli dhidi ya Wapalestina katika eneo la ukanda wa Gaza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani