Israel yazidi kuishambulia Gaza
Wapalestina zaidi ya 200 wauawa katika mashambulio zaidi ya Israel dhidi ya Gaza,mapendekezo ya kusitisha mapigano yakitibuka
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jul
CUF yalaani Israel kuishambulia Gaza
Chama cha Wananchi (CUF) kimelaani mashambulizi ya kivita yanayoendelea kufanywa na Israeli dhidi ya Wapalestina katika eneo la ukanda wa Gaza.
11 years ago
BBCSwahili02 Aug
Israeli haitasita kuishambulia Gaza
Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu ameonya nchi yake haitasita kuvamia Gaza hata baada ya operesheni hii kukamilika
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Israel yaendeleza mashambulizi Gaza
Wapalestina 9 wameuawa na Israel wakitizama mchuano wa kombe la Dunia, ndani ya mgahawa mmoja katika mji wa Khan Yunis huko Gaza.
11 years ago
BBCSwahili03 Aug
Gaza:Mwanajeshi wa Israel aliuawa
Jeshi la Israel limesema kuwa mmoja wa wanajeshi wake ambaye aliaminika kutekwa na wapiganaji wa kipalestina ameuawa.
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Israel yaanza kushambulia Gaza
Israel imeanza kufanya mashambulizi ya angani dhidi ya Gaza baada ya siku tatu ya makubaliano ya kusitisha vita ukanda wa Gaza
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Wanajeshi wa Israel waondoka Gaza
Serikali ya Israel imetangaza kuondoa wanajeshi wake wote katika maeneo wanakotekelezea mashambulizi nje ya ukanda wa Gaza.
11 years ago
BBCSwahili19 Jul
GAZA:Israel yaendeleza mashambulizi yake
Umoja wa mataifa katika eneo la Gaza unasema kuwa idadi ya raia wa Palestina walioachwa bila makao imefikia elfu arobaini
11 years ago
BBCSwahili18 Jul
Jeshi la ardhini la Israel laingia Gaza
Israel imeingia Gaza kwa operesheni ya ardhini,huku ikishambulia pia angani na majini,watu 247 wamefariki na wengi kujeruhiwa
11 years ago
BBCSwahili08 Jul
Israel yafanya mashambulizi zaidi Gaza
Israel imefanya mashambulizi zaidi katika ukanda wa Gaza kufuatia shambulizi la makombora yaliyofanywa na kundi la Hamas Jumatatu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania