Israel yaanza kushambulia Gaza
Israel imeanza kufanya mashambulizi ya angani dhidi ya Gaza baada ya siku tatu ya makubaliano ya kusitisha vita ukanda wa Gaza
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
Israel yaanza kushambilia Gaza tena
Israel imeanza tena kushambulia Gaza baada ya Hamas kuendelea kuishambulia licha ya mkataba wa kusitisha vita kufikiwa.
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Israel yaanza mashambulizi upya Gaza
Majeshi ya Israel imeanza tena upya operesheni yake ya mashambuzi katika eneo la Gaza baada ya kumalizika kwa saa 7 walizotoa.
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Wanajeshi wa Israel waondoka Gaza
Serikali ya Israel imetangaza kuondoa wanajeshi wake wote katika maeneo wanakotekelezea mashambulizi nje ya ukanda wa Gaza.
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Israel yazidi kuishambulia Gaza
Wapalestina zaidi ya 200 wauawa katika mashambulio zaidi ya Israel dhidi ya Gaza,mapendekezo ya kusitisha mapigano yakitibuka
11 years ago
BBCSwahili03 Aug
Gaza:Mwanajeshi wa Israel aliuawa
Jeshi la Israel limesema kuwa mmoja wa wanajeshi wake ambaye aliaminika kutekwa na wapiganaji wa kipalestina ameuawa.
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Israel yaendeleza mashambulizi Gaza
Wapalestina 9 wameuawa na Israel wakitizama mchuano wa kombe la Dunia, ndani ya mgahawa mmoja katika mji wa Khan Yunis huko Gaza.
11 years ago
BBCSwahili26 Jul
Gaza:Israel na Hamas wasitisha vita
Serikali ya Israel na wapiganaji wa Hamas wamekubaliana kusitisha vita kwa masaa 12 katika eneo la Gaza .
11 years ago
BBCSwahili12 Jul
Israel kuendeleza mshambulizi yake Gaza
Israel imesema kuwa itaendeleza mashambulizi yake Gaza hadi pale kundi la wapiganaji wa Hamas litakapositisha kurusha makombora
11 years ago
BBCSwahili08 Jul
Israel yafanya mashambulizi zaidi Gaza
Israel imefanya mashambulizi zaidi katika ukanda wa Gaza kufuatia shambulizi la makombora yaliyofanywa na kundi la Hamas Jumatatu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania