Israel yaanza kushambilia Gaza tena
Israel imeanza tena kushambulia Gaza baada ya Hamas kuendelea kuishambulia licha ya mkataba wa kusitisha vita kufikiwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Israel yaanza kushambulia Gaza
Israel imeanza kufanya mashambulizi ya angani dhidi ya Gaza baada ya siku tatu ya makubaliano ya kusitisha vita ukanda wa Gaza
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Israel yaanza mashambulizi upya Gaza
Majeshi ya Israel imeanza tena upya operesheni yake ya mashambuzi katika eneo la Gaza baada ya kumalizika kwa saa 7 walizotoa.
11 years ago
BBCSwahili01 Aug
Israel yajiandaa tena kwa vita Gaza
Wanajeshi wa Israel wamewaonya raia wanaoishi katika ukanda wa Gaza, kusalia majumbani mwao huku wakijiandaa kuanza tena mashambulizi dhidi ya Hamas.
11 years ago
BBCSwahili03 Aug
Gaza:Mwanajeshi wa Israel aliuawa
Jeshi la Israel limesema kuwa mmoja wa wanajeshi wake ambaye aliaminika kutekwa na wapiganaji wa kipalestina ameuawa.
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Wanajeshi wa Israel waondoka Gaza
Serikali ya Israel imetangaza kuondoa wanajeshi wake wote katika maeneo wanakotekelezea mashambulizi nje ya ukanda wa Gaza.
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Israel yaendeleza mashambulizi Gaza
Wapalestina 9 wameuawa na Israel wakitizama mchuano wa kombe la Dunia, ndani ya mgahawa mmoja katika mji wa Khan Yunis huko Gaza.
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Israel yazidi kuishambulia Gaza
Wapalestina zaidi ya 200 wauawa katika mashambulio zaidi ya Israel dhidi ya Gaza,mapendekezo ya kusitisha mapigano yakitibuka
11 years ago
Mwananchi21 Jul
CUF yalaani Israel kuishambulia Gaza
Chama cha Wananchi (CUF) kimelaani mashambulizi ya kivita yanayoendelea kufanywa na Israeli dhidi ya Wapalestina katika eneo la ukanda wa Gaza.
11 years ago
BBCSwahili19 Jul
GAZA:Israel yaendeleza mashambulizi yake
Umoja wa mataifa katika eneo la Gaza unasema kuwa idadi ya raia wa Palestina walioachwa bila makao imefikia elfu arobaini
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania