Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Israel yajiandaa tena kwa vita Gaza

Wanajeshi wa Israel wamewaonya raia wanaoishi katika ukanda wa Gaza, kusalia majumbani mwao huku wakijiandaa kuanza tena mashambulizi dhidi ya Hamas.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Gaza:Israel na Hamas wasitisha vita

Serikali ya Israel na wapiganaji wa Hamas wamekubaliana kusitisha vita kwa masaa 12 katika eneo la Gaza .

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yaanza kushambilia Gaza tena

Israel imeanza tena kushambulia Gaza baada ya Hamas kuendelea kuishambulia licha ya mkataba wa kusitisha vita kufikiwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Gaza :vita kukomeshwa kwa siku 5 zijazo.

Israeli na palestina zimekubaliana kusitisha mapigano kwa siku 5 zijazo katika makubaliano mapya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yasitisha vita kwa saa 7

Israel imetangaza kusitisha vita kutokana na sababu za kibinadamu katika maeneo mengi ya Gaza kwa saa saba, kuanzia siku ya jumatatu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel kusitisha vita kwa saa 24 zaidi

Serikali ya Israel imekubali kusitisha vita katika eneo la Gaza kwa sababu za kibinaadamu kufuatia ombi la umoja wa mataifa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Israel waondoka Gaza

Serikali ya Israel imetangaza kuondoa wanajeshi wake wote katika maeneo wanakotekelezea mashambulizi nje ya ukanda wa Gaza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Gaza:Mwanajeshi wa Israel aliuawa

Jeshi la Israel limesema kuwa mmoja wa wanajeshi wake ambaye aliaminika kutekwa na wapiganaji wa kipalestina ameuawa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yaendeleza mashambulizi Gaza

Wapalestina 9 wameuawa na Israel wakitizama mchuano wa kombe la Dunia, ndani ya mgahawa mmoja katika mji wa Khan Yunis huko Gaza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yazidi kuishambulia Gaza

Wapalestina zaidi ya 200 wauawa katika mashambulio zaidi ya Israel dhidi ya Gaza,mapendekezo ya kusitisha mapigano yakitibuka

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani