Israel kusitisha vita kwa saa 24 zaidi
Serikali ya Israel imekubali kusitisha vita katika eneo la Gaza kwa sababu za kibinaadamu kufuatia ombi la umoja wa mataifa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili04 Aug
Israel yasitisha vita kwa saa 7
Israel imetangaza kusitisha vita kutokana na sababu za kibinadamu katika maeneo mengi ya Gaza kwa saa saba, kuanzia siku ya jumatatu.
11 years ago
BBCSwahili01 Aug
Israel,Hamas kusitisha mapigano saa 72
Israel na Hamasi wamekubaliana kusitisha mapigano kwa saa 72 .
10 years ago
BBCSwahili04 Jan
Israel kusitisha msaada kwa Palestina
Israel inasema kuwa itasimamisha fedha kwenda kwa utawala wa Palesina kutokana na hatua ya taifa hilo kutaka kujiunga na ICC.
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Tanesco kusitisha huduma za kununua Luku kwa saa 24
Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Felchesmi Mramba amesema kesho na keshokutwa hakutakuwa na huduma ya ununuzi wa umeme kupitia Luku nchi nzima.
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Hamas kusitisha mashambulizi Israel
Kundi la wapiganaji wa Palestina la Hamas kimesema kipo tayari kusimamisha mapigano ya maroketi nchini Israel.
11 years ago
BBCSwahili01 Aug
Israel yajiandaa tena kwa vita Gaza
Wanajeshi wa Israel wamewaonya raia wanaoishi katika ukanda wa Gaza, kusalia majumbani mwao huku wakijiandaa kuanza tena mashambulizi dhidi ya Hamas.
11 years ago
BBCSwahili10 May
Wakubaliana kusitisha vita Sudan Kusini
Rais wa Sudan kusini Salva Kiir na kiongozi wa waasi nchini humo Riek Machar waingia katika mkataba wa kustisha vita.
10 years ago
BBCSwahili10 May
Waasi wakubali kusitisha vita Yemen
Wanajeshi waasi nchini Yemen wanaowasaidia waasi wa Houthi kudhiditi maeneo makubwa ya nchi hiyo wamekubali usitishwaji wa mapigano
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
Mkataba wafikiwa kusitisha vita Ukraine
Serikali ya Ukraine na wapiganaji wa nchi hiyo wanaounga mkono Urusi wamekubaliana kusitisha mapigano Mashariki ya nchi hiyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania