Waasi wakubali kusitisha vita Yemen
Wanajeshi waasi nchini Yemen wanaowasaidia waasi wa Houthi kudhiditi maeneo makubwa ya nchi hiyo wamekubali usitishwaji wa mapigano
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 May
Yemen:Saudia yapendekeza kusitisha Vita
Saudia inajiandaa kufanya mashauriano ya siku tano ya kuleta amani na kujiondoa kutoka Yemen kwa sababu ya kibinadamu.
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Waasi na serikali kusitisha mapigano Syria
Umoja wa mataifa unasema pande zinazozana mjini Homs nchini Syria zimeafikiana kuongeza muda wa kusitisha mapigano kwa siku tatu
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Ngome ya waasi yashambuliwa Yemen
Ndege za kivita mapema leo zilishambulia ngome ya waasi wa Houthi karibu na Ikulu ya Rais wa Yemen mjini Sanaa.
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
Waasi wapambana na wanajeshi Yemen
Serikali ya Yemen imeafikia makubaliano na kundi la waasi wa Houthi baada ya masaa kadha ya mapigano makali kwenye ikulu ya rais.
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Yemen yakabiliana na waasi wa Houthi
Wanajeshi wa serikali wameanzisha mashambulio makali yenye lengo la kuwafurusha waasi wa Kihouthi kutoka eneo moja lililokuwa kituo cha wanajeshi wa anga huko mjini Aden.
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Waasi Yemen kuacha mapigano?
Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema waasi wa Yemen wamekubali kuacha mapigano.
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Waasi 'waiteka' ikulu ya Rais Yemen
Taarifa za hivi punde kutoka mji mkuu wa Yemen, Sanaa zinasema makabiliano makali yametokea kati ya waasi wa Houthi na vikosi vya usalama katika ikulu ya Rais.
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Waasi wa Houthi wachukua serikali Yemen
Waasi wa Shia wametangaza kutwaa uongozi wa kisiasa nchini Yemen,
10 years ago
BBCSwahili19 May
Yemen:Serikali yapinga mazungumzo na waasi
Serikali ya Yemen iliyoko uhamishoni, haitakubali kufanya mazungumzo ya amani na wanamgambo wa Houthi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania