Waasi 'waiteka' ikulu ya Rais Yemen
Taarifa za hivi punde kutoka mji mkuu wa Yemen, Sanaa zinasema makabiliano makali yametokea kati ya waasi wa Houthi na vikosi vya usalama katika ikulu ya Rais.
BBCSwahili
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania