Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waasi wa Houthi wachukua serikali Yemen

Waasi wa Shia wametangaza kutwaa uongozi wa kisiasa nchini Yemen,

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Yemen yakabiliana na waasi wa Houthi

Wanajeshi wa serikali wameanzisha mashambulio makali yenye lengo la kuwafurusha waasi wa Kihouthi kutoka eneo moja lililokuwa kituo cha wanajeshi wa anga huko mjini Aden.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen:Waasi wa Houthi wafurushwa kambini

Vikosi vinavyounga mkono serikali nchini Yemen vimechukua kambi kubwa ya wanahewa katika makabiliano na waasi wa Houthi ,msemaji wa vikosi hivyo ameambia BBC.

 

5 years ago

BBCSwahili

Waasi wa Houthi wadungua ndege ya kivita ya Saudi Arabia nchini Yemen

Waasi wa Houthi wamesema wameidungua ndege ya jeshi la Saudi Arabia, wakati Saudi Arabia ikisema ''ilianguka''.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen:Serikali yapinga mazungumzo na waasi

Serikali ya Yemen iliyoko uhamishoni, haitakubali kufanya mazungumzo ya amani na wanamgambo wa Houthi

 

10 years ago

BBCSwahili

Houthi kuendeleza mapigano,Yemen

Kiongozi wa waasi wa Houthi nchini Yemen wameituhumu Saudi Arabia kwa kutaka kuchukua taifa lao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Houthi wateka maeneo zaidi Yemen

Maafisa wa usalama nchini Yemen wanasema waasi wa kundi la Houthi wameshikilia maeneo kadhaa ya mji wa tatu kwa ukubwa wa Taiz

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia waandamana dhidi ya Houthi Yemen

Maelfu ya watu wameingia katika mitaa ya mji wa Yemen Sanaa katika maandamano ya kupinga waasi wa kishia wa Houthi

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen:Houthi yakamia mji wa Aden

Marekani ilisema kuwa inaharakisha kuwasilisha silaha kwa majeshi ya muungano

 

10 years ago

BBCSwahili

Ngome ya waasi yashambuliwa Yemen

Ndege za kivita mapema leo zilishambulia ngome ya waasi wa Houthi karibu na Ikulu ya Rais wa Yemen mjini Sanaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani