Ngome ya waasi yashambuliwa Yemen
Ndege za kivita mapema leo zilishambulia ngome ya waasi wa Houthi karibu na Ikulu ya Rais wa Yemen mjini Sanaa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Ngome ya rais yashambuliwa Yemen
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Makao ya rais yashambuliwa Yemen
10 years ago
StarTV30 Mar
Makao ya rais yashambuliwa Yemen.
Rais wa Yemeni Abd Rabbuh Mansour Hadi amehamishwa hadi mahala salama baada ya mashambulio ya angani katika maskani yake katika mji wa Aden, Kusini mwa taifa hilo.
Bwana hadi alitoroka kutoka mji wa Sanaa ambao umetekwa na Waasi wa Houthi na anajaribu kujenga kambi mpya ya utawala katika eneo hilo.
Ndege mbili za kivita zinaaminika kutumika katika mashambulio hayo, lakini maskani yake hayakushambuliwa moja kwa moja.
Ndege hizo zinadaiwa kutumwa kutoka mji wa Sanaa.
Uvamizi huo ulitokea saa...
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
Syria yashambulia ngome za waasi
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Waasi Yemen kuacha mapigano?
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Yemen yakabiliana na waasi wa Houthi
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
Waasi wapambana na wanajeshi Yemen
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Mazungumzo:Waasi wapewa masharti Yemen
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Waasi wa Houthi wachukua serikali Yemen