Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngome ya waasi yashambuliwa Yemen

Ndege za kivita mapema leo zilishambulia ngome ya waasi wa Houthi karibu na Ikulu ya Rais wa Yemen mjini Sanaa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ngome ya rais yashambuliwa Yemen

Ndege za kivita nchini Yemen zimerusha makombora katika mji wa kusini wa Aden ambapo rais Abd Rabbuh Mansour Hadi

 

10 years ago

BBCSwahili

Makao ya rais yashambuliwa Yemen

Rais wa Yemeni Abd Rabbuh Mansour Hadi amehamishwa hadi mahala salama baada ya makao yake kushambuliwa na ndege

 

10 years ago

StarTV

Makao ya rais yashambuliwa Yemen.

Rais wa Yemeni Abd Rabbuh Mansour Hadi amehamishwa hadi mahala salama baada ya mashambulio ya angani katika maskani yake katika mji wa Aden, Kusini mwa taifa hilo.

Bwana hadi alitoroka kutoka mji wa Sanaa ambao umetekwa na Waasi wa Houthi na anajaribu kujenga kambi mpya ya utawala katika eneo hilo.

Ndege mbili za kivita zinaaminika kutumika katika mashambulio hayo, lakini maskani yake hayakushambuliwa moja kwa moja.

Ndege hizo zinadaiwa kutumwa kutoka mji wa Sanaa.

Uvamizi huo ulitokea saa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Syria yashambulia ngome za waasi

Maelfu ya watu wameuawa upande wa kaskazini-magharibi mwa Syria katika mfululizo wa mashambulizi ya anga.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waasi Yemen kuacha mapigano?

Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema waasi wa Yemen wamekubali kuacha mapigano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen yakabiliana na waasi wa Houthi

Wanajeshi wa serikali wameanzisha mashambulio makali yenye lengo la kuwafurusha waasi wa Kihouthi kutoka eneo moja lililokuwa kituo cha wanajeshi wa anga huko mjini Aden.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wapambana na wanajeshi Yemen

Serikali ya Yemen imeafikia makubaliano na kundi la waasi wa Houthi baada ya masaa kadha ya mapigano makali kwenye ikulu ya rais.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo:Waasi wapewa masharti Yemen

Waziri wa mashauri ya kigeni wa Yemen aliye uhamishoni ameiambia BBC kuwa serikali yake imejiandaa kwa mazungumza ya amani na waasi

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wa Houthi wachukua serikali Yemen

Waasi wa Shia wametangaza kutwaa uongozi wa kisiasa nchini Yemen,

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani