Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waasi wapambana na wanajeshi Yemen

Serikali ya Yemen imeafikia makubaliano na kundi la waasi wa Houthi baada ya masaa kadha ya mapigano makali kwenye ikulu ya rais.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa UN wapambana na waasi DRC

Wanajeshi wa UN wameanza kupambana na waasi wa Kihutu kutoka Rwanda pamoja na makundi mengine ya waasi Mashariki mwa DRC

 

11 years ago

BBCSwahili

Al qaeda na jeshi la Yemen, wapambana

wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapigano na vikosi vya serikali kaskazini mwa jimbo la Abyan.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi na jeshi wapambana,Sudan Kusin

Kikosi cha waasi Sudan Kusini na majeshi ya serikali wamepambana kuwania kumiliki mji wa Malakal

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Chad, Boko Haram,wapambana

Wanajeshi wa Chad wapambana na Boko Haram Kaskazini Mashariki mwa Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Ngome ya waasi yashambuliwa Yemen

Ndege za kivita mapema leo zilishambulia ngome ya waasi wa Houthi karibu na Ikulu ya Rais wa Yemen mjini Sanaa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waasi Yemen kuacha mapigano?

Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema waasi wa Yemen wamekubali kuacha mapigano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen yakabiliana na waasi wa Houthi

Wanajeshi wa serikali wameanzisha mashambulio makali yenye lengo la kuwafurusha waasi wa Kihouthi kutoka eneo moja lililokuwa kituo cha wanajeshi wa anga huko mjini Aden.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wa Houthi wachukua serikali Yemen

Waasi wa Shia wametangaza kutwaa uongozi wa kisiasa nchini Yemen,

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen:Serikali yapinga mazungumzo na waasi

Serikali ya Yemen iliyoko uhamishoni, haitakubali kufanya mazungumzo ya amani na wanamgambo wa Houthi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani