Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waasi Yemen kuacha mapigano?

Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema waasi wa Yemen wamekubali kuacha mapigano.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano mapya yaripotiwa Yemen

Kuna ripoti za mapigano mapya nchini Yemen muda mfupi baada ya usitishwaji mapigano wa saa sita kuanza kutekelezwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Houthi kuendeleza mapigano,Yemen

Kiongozi wa waasi wa Houthi nchini Yemen wameituhumu Saudi Arabia kwa kutaka kuchukua taifa lao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano makali yashuhudiwa Yemen

Mapigano makali yanashuhudiwa nje na ndani ya uwanja wa ndege katika mji wa Aden nchini Yemen.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano makali yaendelea Yemen

Mapigano yameendelea katika mji wa Aden nchini Yemen, wakati waasi wa Houthi wakijaribu kutwaa udhibiti wa mji huo

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi na serikali kusitisha mapigano Syria

Umoja wa mataifa unasema pande zinazozana mjini Homs nchini Syria zimeafikiana kuongeza muda wa kusitisha mapigano kwa siku tatu

 

10 years ago

BBCSwahili

Ban Moon asikitishwa na mapigano Yemen

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ameelezea tahadhari yake kuhusiana na hatari ya raia kuendelea kupigana, Nchini Yemen.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ngome ya waasi yashambuliwa Yemen

Ndege za kivita mapema leo zilishambulia ngome ya waasi wa Houthi karibu na Ikulu ya Rais wa Yemen mjini Sanaa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wapambana na wanajeshi Yemen

Serikali ya Yemen imeafikia makubaliano na kundi la waasi wa Houthi baada ya masaa kadha ya mapigano makali kwenye ikulu ya rais.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen yakabiliana na waasi wa Houthi

Wanajeshi wa serikali wameanzisha mashambulio makali yenye lengo la kuwafurusha waasi wa Kihouthi kutoka eneo moja lililokuwa kituo cha wanajeshi wa anga huko mjini Aden.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani