Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapigano makali yashuhudiwa Yemen

Mapigano makali yanashuhudiwa nje na ndani ya uwanja wa ndege katika mji wa Aden nchini Yemen.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano makali yaendelea Yemen

Mapigano yameendelea katika mji wa Aden nchini Yemen, wakati waasi wa Houthi wakijaribu kutwaa udhibiti wa mji huo

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano makali yaendelea Mogadishu

Mapigano makali yameripotiwa kwenye mji kuu wa Somalia Mogadishu baada ya shambulizi la gari la kujitoa mhanga

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano makali yaendelea Ramadi, Iraq

Mapigano makali ya kuwania udhibiti wa mji wa Ramadi nchini Iraq unaendelea.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapigano makali yaanza tena Sudan Kusini

Mapigano makali yamekuwa yakiendelea katika mji wa Bentiu nchini Sudan Kusini ambapo vikosi vya serikali vinajaribu kuurejesha mji huo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waasi Yemen kuacha mapigano?

Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema waasi wa Yemen wamekubali kuacha mapigano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Houthi kuendeleza mapigano,Yemen

Kiongozi wa waasi wa Houthi nchini Yemen wameituhumu Saudi Arabia kwa kutaka kuchukua taifa lao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano mapya yaripotiwa Yemen

Kuna ripoti za mapigano mapya nchini Yemen muda mfupi baada ya usitishwaji mapigano wa saa sita kuanza kutekelezwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ban Moon asikitishwa na mapigano Yemen

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ameelezea tahadhari yake kuhusiana na hatari ya raia kuendelea kupigana, Nchini Yemen.

 

10 years ago

Mtanzania

Mapigano Yemen yakatisha safari ya Rais Uhuru Kenyatta

Uhuru-Kenyatta1NAIROBI, Kenya,

NDEGE iliyokuwa imembeba Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, imelazimika kukatisha safari na kurejea nyumbani baada ya kuwapo hofu ya hali ya usalama katika eneo la anga ya Yemen.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Msemaji wa Ikulu ya nchi hiyo, Manoah Esipisu, tukio hilo lilitokea wakati Rais Kenyatta akiwa safarini kuelekea Dubai.

Esipisu alisema hali hiyo ilitokana na changamoto ya usalama baada ya kuwapo kwa mapigano yanayoendelea nchini Yemen baina ya jeshi la nchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani