Mapigano makali yashuhudiwa Yemen
Mapigano makali yanashuhudiwa nje na ndani ya uwanja wa ndege katika mji wa Aden nchini Yemen.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Mapigano makali yaendelea Yemen
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Mapigano makali yaendelea Mogadishu
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Mapigano makali yaendelea Ramadi, Iraq
11 years ago
BBCSwahili05 May
Mapigano makali yaanza tena Sudan Kusini
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Waasi Yemen kuacha mapigano?
10 years ago
BBCSwahili20 Apr
Houthi kuendeleza mapigano,Yemen
10 years ago
BBCSwahili11 Jul
Mapigano mapya yaripotiwa Yemen
10 years ago
BBCSwahili01 May
Ban Moon asikitishwa na mapigano Yemen
10 years ago
Mtanzania25 Apr
Mapigano Yemen yakatisha safari ya Rais Uhuru Kenyatta
NAIROBI, Kenya,
NDEGE iliyokuwa imembeba Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, imelazimika kukatisha safari na kurejea nyumbani baada ya kuwapo hofu ya hali ya usalama katika eneo la anga ya Yemen.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Msemaji wa Ikulu ya nchi hiyo, Manoah Esipisu, tukio hilo lilitokea wakati Rais Kenyatta akiwa safarini kuelekea Dubai.
Esipisu alisema hali hiyo ilitokana na changamoto ya usalama baada ya kuwapo kwa mapigano yanayoendelea nchini Yemen baina ya jeshi la nchi...