Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapigano mapya yaripotiwa Yemen

Kuna ripoti za mapigano mapya nchini Yemen muda mfupi baada ya usitishwaji mapigano wa saa sita kuanza kutekelezwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mapigano mapya yaripotiwa Iraq

Mapigano mapya yameripotiwa kati ya kundi la Jihad la Sunni na majeshi ya serikali katika mji wa Tikrit nchini Iraqi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waasi Yemen kuacha mapigano?

Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema waasi wa Yemen wamekubali kuacha mapigano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano makali yashuhudiwa Yemen

Mapigano makali yanashuhudiwa nje na ndani ya uwanja wa ndege katika mji wa Aden nchini Yemen.

 

10 years ago

BBCSwahili

Houthi kuendeleza mapigano,Yemen

Kiongozi wa waasi wa Houthi nchini Yemen wameituhumu Saudi Arabia kwa kutaka kuchukua taifa lao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano makali yaendelea Yemen

Mapigano yameendelea katika mji wa Aden nchini Yemen, wakati waasi wa Houthi wakijaribu kutwaa udhibiti wa mji huo

 

10 years ago

BBCSwahili

Ban Moon asikitishwa na mapigano Yemen

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ameelezea tahadhari yake kuhusiana na hatari ya raia kuendelea kupigana, Nchini Yemen.

 

10 years ago

Mtanzania

Mapigano Yemen yakatisha safari ya Rais Uhuru Kenyatta

Uhuru-Kenyatta1NAIROBI, Kenya,

NDEGE iliyokuwa imembeba Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, imelazimika kukatisha safari na kurejea nyumbani baada ya kuwapo hofu ya hali ya usalama katika eneo la anga ya Yemen.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Msemaji wa Ikulu ya nchi hiyo, Manoah Esipisu, tukio hilo lilitokea wakati Rais Kenyatta akiwa safarini kuelekea Dubai.

Esipisu alisema hali hiyo ilitokana na changamoto ya usalama baada ya kuwapo kwa mapigano yanayoendelea nchini Yemen baina ya jeshi la nchi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapigano mapya mjini Juba

Milio ya risasi imesikika ndani ya kambi ya jeshi mjini Juba nchini Sudan Kusini na ripoti zinasema hali ya wasi wasi imetanda

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano mapya yazuka Sudan Kusini

Mapigano mapya yamezuka katika majimbo matatu nchini Sudani kusini siku chache baada ya pande mbili hasimu kukubaliana kusitisha vita

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani