Mapigano Yemen yakatisha safari ya Rais Uhuru Kenyatta
NAIROBI, Kenya,
NDEGE iliyokuwa imembeba Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, imelazimika kukatisha safari na kurejea nyumbani baada ya kuwapo hofu ya hali ya usalama katika eneo la anga ya Yemen.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Msemaji wa Ikulu ya nchi hiyo, Manoah Esipisu, tukio hilo lilitokea wakati Rais Kenyatta akiwa safarini kuelekea Dubai.
Esipisu alisema hali hiyo ilitokana na changamoto ya usalama baada ya kuwapo kwa mapigano yanayoendelea nchini Yemen baina ya jeshi la nchi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-jB9FWRS1DJQ/VhJSPk0tQmI/AAAAAAAH9AE/wyJqhp2ZyQ8/s640/ke1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA MZEE JOMO KENYATTA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jB9FWRS1DJQ/VhJSPk0tQmI/AAAAAAAH9AE/wyJqhp2ZyQ8/s72-c/ke1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA HAYATI MZEE JOMO KENYATTA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Rais Kikwete akutana na Rais Uhuru Kenyatta mjini Windhoek, Alhaj Mwinyi na Mzee Mkapa waungana naye sherehe za kuapishwa rais mpya wa namibia
![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a0pRN5HFuA0/VQ66_UT049I/AAAAAAAHMLc/khLtmIT_i0g/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X422Ur7jOR4/VQ67A4qaJQI/AAAAAAAHMLs/dr0qghe3iko/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ugF8R4GTRbo/U-bCS26FV7I/AAAAAAAF-LI/8NjMHQgv1fI/s72-c/uk1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA MJINI DUBAI WAKIWA NJIANI KUREJEA NYUMBANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ugF8R4GTRbo/U-bCS26FV7I/AAAAAAAF-LI/8NjMHQgv1fI/s1600/uk1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Lc_GFdYyXwE/U-bCUDrj64I/AAAAAAAF-LU/1AbY9n-ufuA/s1600/uk2.jpg)
5 years ago
CCM Blog28 May
HALI MBAYA YA HEWA YAKATISHA SAFARI YA CHOMBO CHA SPACEX
![USA Cape Canaveral Startabbruch SpaceX Falcon 9 Rakete (picture-alliance/AP Photo/SpaceX) USA Cape Canaveral Startabbruch SpaceX Falcon 9 Rakete (picture-alliance/AP Photo/SpaceX)](https://www.dw.com/image/53592435_303.jpg)
10 years ago
Vijimambo08 Oct
Rais Uhuru Kenyatta mbele ya ICC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/590/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/08/141008075142_uhuru_kenyatta_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Yeye ni kiongozi wa kwanza wa taifa kuwasili mbele ya mahakama hiyo.
Kenyatta amefika mbele ya mahakama hiyo baada ya waendesha mashtaka kuishutumu serikali ya Kenya kukata kuwasilisha ushahidi muhimu. BBC
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Kibarua kinachomkabili Rais Uhuru Kenyatta
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-L71k6uB5SHY/XsU2k7TThjI/AAAAAAAAy80/jQfbWG8KvFYBgVB-8sVACK9j9xaIfN8aACLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
RAIS MAGUFULI NA UHURU KENYATTA WAYAMLIZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-L71k6uB5SHY/XsU2k7TThjI/AAAAAAAAy80/jQfbWG8KvFYBgVB-8sVACK9j9xaIfN8aACLcBGAsYHQ/s400/maxresdefault.jpg)
“Mimi na Kenyatta tumeongea kwenye simu tumeyamaliza, naagiza ndani ya wiki hii, Waziri wa Uchukuzi na Timu yake wakakutane na Waziri wa Kenya kule mpakani wakiwa na Wakuu wa Mikoa ya mipakani...
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Westgate: Maswali kwa Rais Uhuru Kenyatta