Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapigano mapya yaripotiwa Iraq

Mapigano mapya yameripotiwa kati ya kundi la Jihad la Sunni na majeshi ya serikali katika mji wa Tikrit nchini Iraqi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano mapya yaripotiwa Yemen

Kuna ripoti za mapigano mapya nchini Yemen muda mfupi baada ya usitishwaji mapigano wa saa sita kuanza kutekelezwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano makali yaendelea Ramadi, Iraq

Mapigano makali ya kuwania udhibiti wa mji wa Ramadi nchini Iraq unaendelea.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapigano mapya mjini Juba

Milio ya risasi imesikika ndani ya kambi ya jeshi mjini Juba nchini Sudan Kusini na ripoti zinasema hali ya wasi wasi imetanda

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano mapya Malakal, Sudan Kusini

Mapigano yameshuhudiwa kwenye mji wa Malakal nchini Sudan Kusini kati ya jeshi la serikali na kundi hasimu

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano mapya yazuka Sudan Kusini

Mapigano mapya yamezuka katika majimbo matatu nchini Sudani kusini siku chache baada ya pande mbili hasimu kukubaliana kusitisha vita

 

10 years ago

Habarileo

Matukio 24,000 ya unyanyasaji watoto yaripotiwa

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Dk Pindi ChanaWIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto imesema kuna kesi zaidi ya 24,000 zinahusu matukio ya unyanyasaji na ukatili wa haki za watoto katika kipindi cha mwaka 2013 na Februari, mwaka jana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Machafuko zaidi yaripotiwa Congo Brazaville

Machafuko zaidi yametokea katika mji mkuu wa Congo Brazaville polisi wanajaribu kuvunja maandamano ya kupinga awamu ya tatu ya Sassou Nguesso

 

11 years ago

BBCSwahili

Mauaji makubwa yaripotiwa Sudan Kusini

Mauaji makubwa ya kikabila yameripotiwa kutokea nchini Sudan Kusini katika wiki moja ya mapigano.

 

9 years ago

StarTV

  Ukatili Wa Kijinsia Matukio 6,590 yaripotiwa katika mikoa ya Kaskazini

 

Mfumo dume katika baadhi ya Jamii unaochangiwa na mila na desturi potofu ni  miogoni mwa vitendo vya kikatili   vinavyotajwa kuendelea kuwanyima fursa ya kupata elimu baadhi ya watoto wa kike katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini.

Wanaharakati wa haki za binadamu Katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini  katika utafiti wao wamebaini kuwepo kwa ongezeko kubwa la matukio ya uakatili wa kijinsia  ambapo katika kipindi cha kuanzia mwenzi january hadi oktoba  mwaka huu jumla ya matukio 6,590 yakiwemo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani