Mauaji makubwa yaripotiwa Sudan Kusini
Mauaji makubwa ya kikabila yameripotiwa kutokea nchini Sudan Kusini katika wiki moja ya mapigano.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili23 Apr
Marekani yalaani mauaji Sudan Kusini
Ikulu ya White House imeelezea kushangazwa na mauaji ya kinyama ya mamia ya raia Sudan Kusini na kutoa wito wa kusitishwa kwa vurugu zinazoendelea nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
Waasi wa Sudan Kusini wakana mauaji
Waasi nchini Sudan Kusini wamekanusha madai yaliyotolewa na Umoja wa Mataifa kuwa waliwaua raia mjini Bentiu kwa misingi ya ukabila.
11 years ago
BBCSwahili21 Apr
Sudan Kusini:Mauaji ya kikabila Bentiu
Umoja wa Mataifa unasema kuwa vikosi vinavyopinga serikali nchini Sudan Kusini viliwaua mamia ya watu kwa misingi ya ukabila vilipouteka mji wa Bentiu wiki jana.
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Mauaji Sudan Kusini UN wakaa kikao cha dharura
>Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, limefanya kikao cha dharura kuhusu Sudan Kusini, baada ya wanajeshi wa Umoja huo kuuawa katika ghasi nchini humo.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OTfgCgzQ4cc/VMFF6IRr4AI/AAAAAAAArYg/Rem_av2t1hY/s72-c/sa.jpg)
MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OTfgCgzQ4cc/VMFF6IRr4AI/AAAAAAAArYg/Rem_av2t1hY/s1600/sa.jpg)
Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-town7it9WZs/VMEjUisBRYI/AAAAAAAG_EM/U3NrHfhmslk/s72-c/s5.jpg)
Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)
![](http://3.bp.blogspot.com/-town7it9WZs/VMEjUisBRYI/AAAAAAAG_EM/U3NrHfhmslk/s1600/s5.jpg)
9 years ago
BBCSwahili27 Dec
Mafuriko makubwa zaidi katika miaka 50 Marekani Kusini
Hali mbaya ya hewa imeathiri eneo kubwa la Marekani kusini katika msimu huu wa Krismasi, na kusababisha vifo vya watu 26 na kuhamishwa kwa watu 150,000
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CGWwFxEqLd7gX4643x-Hp-OMwOUHhjcXHzTlXRRH25e6Gw-*9qfgCq0jwFpkdb0KoTLoEpc6WbvawWFsPFes14X3E5u8bV23/sp4.jpg?width=750)
Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) jijini Arusha
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia wakati Rais Salva
Kiir Mayardiy wa Sudan ya Kusini (kushoto) na Makamu wa Rais wa zamani
wa Sudan Dkt Riek Machar Teny (wa pili kulia) wakipeana mikono na
kubadilishana nyaraka baada ya kutia saini mkatana wa makubaliano ya
kukiunganisha upya chama cha SPLM cha Sudani Kusini katika hoteli ya…
...
11 years ago
BBCSwahili24 Jan
Polisi wakamatwa kwa mauaji A.Kusini
Polisi wanne wamekamatwa kuhusiana na kisa cha kuwapiga risasi waandamanaji nchini Afrika Kusini siku ya Alhamisi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania