Marekani yalaani mauaji Sudan Kusini
Ikulu ya White House imeelezea kushangazwa na mauaji ya kinyama ya mamia ya raia Sudan Kusini na kutoa wito wa kusitishwa kwa vurugu zinazoendelea nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Aug
Marekani yalaani mauaji ya mwandishi
Rais Barack Obama wa Marekani amesema mauaji ya mwandishi wa habari James Foley yameishtua dunia.
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
Waasi wa Sudan Kusini wakana mauaji
Waasi nchini Sudan Kusini wamekanusha madai yaliyotolewa na Umoja wa Mataifa kuwa waliwaua raia mjini Bentiu kwa misingi ya ukabila.
11 years ago
BBCSwahili24 Dec
Mauaji makubwa yaripotiwa Sudan Kusini
Mauaji makubwa ya kikabila yameripotiwa kutokea nchini Sudan Kusini katika wiki moja ya mapigano.
11 years ago
BBCSwahili21 Apr
Sudan Kusini:Mauaji ya kikabila Bentiu
Umoja wa Mataifa unasema kuwa vikosi vinavyopinga serikali nchini Sudan Kusini viliwaua mamia ya watu kwa misingi ya ukabila vilipouteka mji wa Bentiu wiki jana.
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Mauaji Sudan Kusini UN wakaa kikao cha dharura
>Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, limefanya kikao cha dharura kuhusu Sudan Kusini, baada ya wanajeshi wa Umoja huo kuuawa katika ghasi nchini humo.
10 years ago
Vijimambo03 Mar
MAREKANI YAIONYA SUDAN YA KUSINI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/02/150302104355_south_sudan_640x360_afp.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/02/01/150201235520_south_sudan_salva_kiir_riek_machar__640x360_afp.jpg)
Waziri wa masuala ya nchi za kigeni wa Marekani John Kerry ameonya kuwa mapigano ni lazima yamalizike mara moja.
Ameyasema hayo huku Rais Salva Kiir akiwasili jijini Addis Ababa kwa mazungumzo ya moja kwa moja na kiongozi wa Waasi Dkt Riek Machar, baada ya kukosa kuhudhuria...
11 years ago
BBCSwahili21 Dec
Marekani kutuma mjumbe Sudan Kusini
Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani John Kerry amesema atatuma mjumbe maalum nchini Sudan Kusini Bwana Donald Booth.
9 years ago
BBCSwahili13 Nov
UN yalaani mauaji Burundi
Baraza la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio kulaani mauaji nchini Burundi na kutaka kupelekwa kwa kikosi cha kulinda amani.
10 years ago
Habarileo15 Jul
THBUB yalaani mauaji ya polisi
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), imelaani mauaji yaliyofanywa na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi, katika kituo cha Polisi Stakishari, Dar es Salaam juzi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania