MAREKANI YAIONYA SUDAN YA KUSINI
Marekani yaonya kuwa itachukua hatua kali dhidi ya pande zote
Marekani imeonya kuwa itachukua hatua dhidi ya pande mbili zinazopigana nchini Sudan Kusini iwapo hazitaafikia makubaliano ya amani kufikia alhamisi wiki hii.
Waziri wa masuala ya nchi za kigeni wa Marekani John Kerry ameonya kuwa mapigano ni lazima yamalizike mara moja.
Ameyasema hayo huku Rais Salva Kiir akiwasili jijini Addis Ababa kwa mazungumzo ya moja kwa moja na kiongozi wa Waasi Dkt Riek Machar, baada ya kukosa kuhudhuria...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili23 Apr
Marekani yalaani mauaji Sudan Kusini
11 years ago
BBCSwahili21 Dec
Marekani kutuma mjumbe Sudan Kusini
10 years ago
BBCSwahili04 Jan
Korea Kazkazini yaionya Marekani
11 years ago
BBCSwahili13 Apr
Marekani yaionya Urusi kuhusu Ukraine.
10 years ago
BBCSwahili20 Dec
Korea kazkazini sasa yaionya Marekani
5 years ago
BBCSwahili24 May
Virusi vya Corona: China yaionya Marekani dhidi ya kusababisha vita baridi
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OTfgCgzQ4cc/VMFF6IRr4AI/AAAAAAAArYg/Rem_av2t1hY/s72-c/sa.jpg)
MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OTfgCgzQ4cc/VMFF6IRr4AI/AAAAAAAArYg/Rem_av2t1hY/s1600/sa.jpg)
Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-town7it9WZs/VMEjUisBRYI/AAAAAAAG_EM/U3NrHfhmslk/s72-c/s5.jpg)
Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)
![](http://3.bp.blogspot.com/-town7it9WZs/VMEjUisBRYI/AAAAAAAG_EM/U3NrHfhmslk/s1600/s5.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CGWwFxEqLd7gX4643x-Hp-OMwOUHhjcXHzTlXRRH25e6Gw-*9qfgCq0jwFpkdb0KoTLoEpc6WbvawWFsPFes14X3E5u8bV23/sp4.jpg?width=750)
Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) jijini Arusha