Marekani kutuma mjumbe Sudan Kusini
Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani John Kerry amesema atatuma mjumbe maalum nchini Sudan Kusini Bwana Donald Booth.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo03 Mar
MAREKANI YAIONYA SUDAN YA KUSINI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/02/150302104355_south_sudan_640x360_afp.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/02/01/150201235520_south_sudan_salva_kiir_riek_machar__640x360_afp.jpg)
Waziri wa masuala ya nchi za kigeni wa Marekani John Kerry ameonya kuwa mapigano ni lazima yamalizike mara moja.
Ameyasema hayo huku Rais Salva Kiir akiwasili jijini Addis Ababa kwa mazungumzo ya moja kwa moja na kiongozi wa Waasi Dkt Riek Machar, baada ya kukosa kuhudhuria...
11 years ago
BBCSwahili23 Apr
Marekani yalaani mauaji Sudan Kusini
Ikulu ya White House imeelezea kushangazwa na mauaji ya kinyama ya mamia ya raia Sudan Kusini na kutoa wito wa kusitishwa kwa vurugu zinazoendelea nchini humo.
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Marekani kutuma jeshi kushambulia IS
Waziri wa Ulinzi wa Marekani Ash Carter amesema jeshi maalum la Marekani litatumwa kwenda nchini Iraq kupambana na wapiganaji wa Islamic State katika nchi za Iraq na Syria.
11 years ago
BBCSwahili17 Jun
Marekani kutuma majeshi Iraq
Marekani imetangaza kuwa inatuma wanajeshi 275 nchini Iraq kusaidia kulinda maafisa na Ubalozi wake mjini Bagdad.
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Marekani yakiri kutuma kimeta zaidi
Maofisa wa ulinzi nchini marekani wamekiri kuwa maabara kadhaa zilizopokea kimakosa sampuli hai za vidudu hatari vya kimeta ni zaidi ya mara mbili ya matarajio ya awali.
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
Marekani kutuma vikosi maalum Syria
Waziri wa ulinzi nchini marekani anasema kuwa kikosi maalum cha jeshi la marekani kitatumwa kuendesha oparesheni nchini Syria
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Maandamano Marekani: Je Trump anaweza kutuma majeshi kudhibiti vurugu?
Wakati maandamano yakishika kasi nchini Marekani, Rais wa nchi hiyo, Donald Trump ametishia kutuma majeshi yake ili kutuliza ghasia.
11 years ago
BBCSwahili12 Jan
Machar akutana na mjumbe wa Marekani
Kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini, Riek Machar, akutana na mjumbe wa Marekani na wapatanishi wa IGAD
11 years ago
BBCSwahili19 Apr
Mjumbe wa Iran azuiwa kungia Marekani
Rais Obama ametia sahihi mswada unaomzuia balozi mteule wa Iran katika Umoja wa Mataifa kuchukua wadhfa wake mjini New York.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania