Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maandamano Marekani: Je Trump anaweza kutuma majeshi kudhibiti vurugu?

Wakati maandamano yakishika kasi nchini Marekani, Rais wa nchi hiyo, Donald Trump ametishia kutuma majeshi yake ili kutuliza ghasia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma majeshi Iraq

Marekani imetangaza kuwa inatuma wanajeshi 275 nchini Iraq kusaidia kulinda maafisa na Ubalozi wake mjini Bagdad.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Marekani :Joe Biden anaweza kumuondoa Trump madarakani?

Joe Biden aliyekuwa makamu rais wa Marekani sasa yupo katikati ya Donald Trump na miaka minne ijayo katika Ikulu ya Marekani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vurugu, maandamano siku ya May Day

Maandamano na vurugu zimefanyika leo siku ya wafanyakazi duniani nchini Uturuki na maeneo mengine duniani.

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Sababu 4 zilizofanya kifo cha M'marekani mweusi kusababisha maandamano makubwa Marekani

Wakati Donald Trump alipotoa onyo lake , pengine hakufikiria kwamba atalazimika kuishi na hali ngumu kama inayoendeelea nchini Marekani.

 

10 years ago

GPL

UKAWA, MAANDAMANO, BMK KUSABABISHA VURUGU

Na MWANDISHI WETU
ZIPO dalili kuwa wito wa viongozi wa vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wa kutaka watu kuandamana nchi nzima na migomo isiyoisha, kwa shinikizo la kutaka kusitishwa kwa vikao vya Bunge Maalum la Katiba (BMK) kunaweza kusababisha vurugu zitakazowalazimu polisi kutumia mabomu ya kutoa machozi ili kuzidhibiti. Hali hiyo inatokana na mkanganyiko uliotokea baada ya kauli ya Mwenyekiti...

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma jeshi kushambulia IS

Waziri wa Ulinzi wa Marekani Ash Carter amesema jeshi maalum la Marekani litatumwa kwenda nchini Iraq kupambana na wapiganaji wa Islamic State katika nchi za Iraq na Syria.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pwani kudhibiti vurugu kampeni Chalinze

MKUU wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza, amesema mkoa wake umejipanga kudhibiti vurugu na fujo wakati wa kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze unaotarajiwa kufanyika Aprili 6, mwaka...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yakiri kutuma kimeta zaidi

Maofisa wa ulinzi nchini marekani wamekiri kuwa maabara kadhaa zilizopokea kimakosa sampuli hai za vidudu hatari vya kimeta ni zaidi ya mara mbili ya matarajio ya awali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma mjumbe Sudan Kusini

Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani John Kerry amesema atatuma mjumbe maalum nchini Sudan Kusini Bwana Donald Booth.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani